Massa
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 647
- 794
Miaka mingi iliyopita kuna jamaa kwenye ukoo wetu ambaye alikua vizuri kiuchumi alikua na mahusiano ya kimapenzi na dada yetu. Inshu ilipelekea wazazi wa pande zote kutokua na maelewano kabisa. Ilo suala kwa upande wa wazazi wetu liliwauma sana hasa baada ya kwenda kumsihi jamaa aache mahusiano na dada kwa kua wana undugu kwenye ukoo.
Lakini kauli ya jamaa kwa kua alikua na pesa kipindi hicho haikua ya kistaharabu. Na kama mjuavyo dada zetu wakiishapenda unaweza kumuua lakini hawezi kuacha. Siku zikaenda sister akawa kaolewa na jamaa wa mkoa wa mbali na nyumbani kwa kiasi hali ikatulia. Kipindi icho mimi bado mdogo ingawa utambuzi nilikua nao na ugomvi huo naujua sana tu.
Huyo ndugu yetu licha ya kua na mahusiano na dada ila alikua tiari ana mke.
Kwenye ndoa jamaa alizaa watoto wa kike wa kwanza na wa pili. Miaka imeenda watoto wamekua wakubwa maisha kama mbio za vijiti nilibahatika kupata vijicent vya mboga. Mwaka huu nikakutana na binti mkubwa wa jamaa nikatongoza akakubali na tukawa kwenye mahusiano ya kimapenzi kweli. Mimi tiari nina mke na watoto lakini ilibidi nifanye kulipizia tu. Inshu wazazi wake wamejua na wameanzisha ugomvi kwenye familia tena. Walivyoenda kusema kwa wazazi wangu mzee akamkumbusha jamaa.
Sasa hapa anatishia kunifikisha police na binti keshamaliza chuo yupo tu nyumbani. Kosa langu ni kumsaliti mke wangu. Lakini kwa huyo ndugu yangu wallahi sijutii ata kidogo.
Lakini kauli ya jamaa kwa kua alikua na pesa kipindi hicho haikua ya kistaharabu. Na kama mjuavyo dada zetu wakiishapenda unaweza kumuua lakini hawezi kuacha. Siku zikaenda sister akawa kaolewa na jamaa wa mkoa wa mbali na nyumbani kwa kiasi hali ikatulia. Kipindi icho mimi bado mdogo ingawa utambuzi nilikua nao na ugomvi huo naujua sana tu.
Huyo ndugu yetu licha ya kua na mahusiano na dada ila alikua tiari ana mke.
Kwenye ndoa jamaa alizaa watoto wa kike wa kwanza na wa pili. Miaka imeenda watoto wamekua wakubwa maisha kama mbio za vijiti nilibahatika kupata vijicent vya mboga. Mwaka huu nikakutana na binti mkubwa wa jamaa nikatongoza akakubali na tukawa kwenye mahusiano ya kimapenzi kweli. Mimi tiari nina mke na watoto lakini ilibidi nifanye kulipizia tu. Inshu wazazi wake wamejua na wameanzisha ugomvi kwenye familia tena. Walivyoenda kusema kwa wazazi wangu mzee akamkumbusha jamaa.
Sasa hapa anatishia kunifikisha police na binti keshamaliza chuo yupo tu nyumbani. Kosa langu ni kumsaliti mke wangu. Lakini kwa huyo ndugu yangu wallahi sijutii ata kidogo.