Kosa la Imamu halisababishi msikiti ufungwe

Kosa la Imamu halisababishi msikiti ufungwe

ngaiwoye

JF-Expert Member
Joined
Aug 26, 2014
Posts
2,436
Reaction score
3,771
Hayo yamesemwa na muumini wa kanisa la ufufuko na uzima. Je unadhani yupo sahihi ama hayuko sahihi??
Imamu akikosea utafunga msikiti ama utamwadhibu Imamu?
Dominika njema
 
Hayo yamesemwa na muumini wa kanisa la ufufuko na uzima. Je unadhani yupo sahihi ama hayuko sahihi??
Imamu akikosea utafunga msikiti ama utamwadhibu Imamu?
Dominika njema
Mnaokumbuka yaliyotokea msikiti wa mtoro na mwembe chai miaka ya 90+ waziri wa mambo ndani akiwa Augustin Mrema mje mtukumbushe👃👃
 
Back
Top Bottom