HAKI KWA WOTE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2022
- 2,691
- 2,303
Mwenye asili haachi asili yaani wapinzani kuwaamini viongozi wastaafu wa CCM au waliokimbia CCM ni kosa ka jina na hawatokaa waiongoze nchi hii kwa hao ni mamluki na wako kazini kuichafua CCM kwa maslahi ya CCM .
Ya wapasa wapinzani wasimame wao wenyewe wasitegemee kina Warioba, Butiku, Polepole,nk hao ni CCM na wanaikosoa CCM kwa maslahi ya CCM.
Badilikeni mnapumbazwa!!
Ya wapasa wapinzani wasimame wao wenyewe wasitegemee kina Warioba, Butiku, Polepole,nk hao ni CCM na wanaikosoa CCM kwa maslahi ya CCM.
Badilikeni mnapumbazwa!!