Korogwe bado imelala hawajui maana ya mageuzi

Korogwe bado imelala hawajui maana ya mageuzi

Irqwatu

Member
Joined
Feb 14, 2012
Posts
9
Reaction score
0
Wana jamvi,
Naomba kuwaeleza kwamba wilaya ya korogwe jinsi ilivyo hasa kimageuzi, kwanza stasheni za radio hapa ni TBC na redio mmoja ya huko muheza hakuna station nyingine halafu upande wa tv ni tbc tu, hivi kweli unategemea hawa watu wawe na mwamko wa mabadiliko kweli,
najuta kuhamishiwa kikazi hapa ila ntawapata wangu wa kujoin M4C
NAWAKILISHA😛eace:
 
au wametupiwa zongo la umbumbumbu , maana jimbo hilo linaongozwa na mganga wa kienyeji .
 
waamshee, maana nakuona unajifanya wewe ni mpenda mabadiliko kumbe wapi?????
 
acha kazi rudi hai kaungane na wajinga wenzako huwezi kuwaita wenzako wamelala kwa matakwa yako kila mtu anauhuru wake.
 
Back
Top Bottom