maroon7
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 11,341
- 15,842
Hii habari ya wananchi kufa njaa haina uthibitisho.
Basi wamejimwa uhuru binafsi...ni watumwa ndani ya nchi yao wenyewe
Hii habari ya wananchi kufa njaa haina uthibitisho.
Basi wamejimwa uhuru binafsi...ni watumwa ndani ya nchi yao wenyewe
Kuna tofauti yoyote na Watanzania?!Basi wamejimwa uhuru binafsi...ni watumwa ndani ya nchi yao wenyewe
Kuna tofauti yoyote na Watanzania?!
Ni misaada hafifu, au? Hutumii net wewe? Haihitaji kuisapoti US ili kusema ukweli.Kwa qema gani unaisapoti USA to that extent au misaada ya condom na net
Nilidhani hali ni mbaya zaidi kwa watanzania!Ni zaidi ya watumwa. Wanaishi kama mifugo ya Kim Jong Un.
Nilidhani hali ni mbaya zaidi kwa watanzania!
Wacha masihara wewe. Ukipata nafasi kuja Tanzania jaribu kutembelea vijiji vya kwenu usukumani halafu ulinganishe na North korea.Watanzania tuna nafuu mara 100 kuliko hao North Korea.
North Korea mara 100.Uko radhi uishi Tanzania au North Korea?
Wacha masihara wewe. Ukipata nafasi kuja Tanzania jaribu kutembelea vijiji vya kwenu usukumani halafu ulinganishe na North korea.
Wacha masihara wewe. Ukipata nafasi kuja Tanzania jaribu kutembelea vijiji vya kwenu usukumani halafu ulinganishe na North korea.
Wacha habari ya kupata mlo, huko usukumani kwa babu zake Nyani hata maji ya kuupikia huo mlo wanawake wanayatafuta kwa masaa, sasa sisi na North Korea wapi na wapi!unachosema ni kweli kuna vijiji Kondoa hapo nimeshuhudia kwa macho yangu watu wanakula mlo mmoja tena unaweza ukawepo au usiwepo
Kuna tofauti yoyote na Watanzania?!
Hakukaliki, waambie wasiopafahamu.Hata sasa hivi nipo huku Ikungulyabashashi na habari za North Koera sitaki hata kuzisikia.
CIA wenyewe hawakijui, wewe ndiye utakijua?!Hivi unajua kinachojiri Korea kaskazini au unaandika tu... fanya kufuatilia kwanza halafu rudi
Kwa qema gani unaisapoti USA to that extent au misaada ya condom na net
CIA wenyewe hawakijui, wewe ndiye utakijua?!