Korea ya Kaskazini ina maendeleo ya vitu lakini watu hawana uhuru

James Martin

JF-Expert Member
Apr 2, 2016
1,206
1,509
Moja ya mdahalo unaondelea kwenye kampeni za urais ni kati ya maendeleo ya watu na maendeleo ya vitu. Mimi nakubaliana na Tundu Lissu kwa kuchagua maendeleo ya vyote! UHURU, KAZI NA MAENDELEO maana yake ni maendeleo ya vyote!

Kwa mfano, Korea ya Kaskazini wana majengo mazuri, miundombinu na mpaka nguvu za nyuklia lakini watu wake hawana uhuru wa kujiamulia mambo yao.

Kama ilivyo Korea ya Kaskazini, Tanzania tunahitaji kukombolewa ili wananchi wawe na sauti na kujiamulia mambo yao. Ifikapo siku ya kupiga kura Watanzania tuchague maendeleo ya vyote, tuchague UHURU, KAZI NA MAENDELEO.

Haya kwenye picha ni "maendeleo" ya Korea ya Kaskazini.

IMG_0589.jpg


View attachment 1603935View attachment 1603930
 
Hata hiki ulichokifanya hapa jukwaani ni uhuru ambao huko Korea Kaskazini huwezi kufanya, labda ungetuweka wazi unataka kukombolewa ktk swala lipi ili tukuelewe.
 
Hakuna maendeleo ya vitu wala watu North Korea, hizo picha unazoleta sio chochote, majengo hayo sio maendeleo hahaha, hayo majengo tajiri moja tu anajenga.
Ukishanyima watu uhuru alafu ukaendesha serikali nzima kwa kutumia kichwa cha mtu moja matokeo yake ni nchi kama hizi za kijinga, Tz inaelekea huko, watu wamekua kama mazombie, subiri uone jiwe litataka kubadilisha katiba liendelee kuongoza awamu nyingine, limelewa madaraka watu hawajui tu.
 
Moja ya mdahalo unaondelea kwenye kampeni za urais ni kati ya maendeleo ya watu na maendeleo ya vitu. Mimi nakubaliana na Tundu Lissu kwa kuchagua maendeleo ya vyote! UHURU, KAZI NA MAENDELEO maana yake ni maendeleo ya vyote!

Kwa mfano, Korea ya Kaskazini wana majengo mazuri, miundombinu na mpaka nguvu za nyuklia lakini watu wake hawana uhuru wa kujiamulia mambo yao.

Kama ilivyo Korea ya Kaskazini, Tanzania tunahitaji kukombolewa ili wananchi wawe na sauti na kujiamulia mambo yao. Ifikapo siku ya kupiga kura Watanzania tuchague maendeleo ya vyote, tuchague UHURU, KAZI NA MAENDELEO.

Haya kwenye picha ni "maendeleo" ya Korea ya Kaskazini.

View attachment 1603936

View attachment 1603935View attachment 1603930
Korea ya Kusini ina maendeleo ya vitu na watu wakaingia ndani ya maendeleo hayo kuendesha uchumi wa nchi
 
Kim Jon In
Dogo Genius huwezi fananisha IQ yake na vitu visivyo eleweka.

Hana shobo na mtu
 
Moja ya mdahalo unaondelea kwenye kampeni za urais ni kati ya maendeleo ya watu na maendeleo ya vitu. Mimi nakubaliana na Tundu Lissu kwa kuchagua maendeleo ya vyote! UHURU, KAZI NA MAENDELEO maana yake ni maendeleo ya vyote!

Kwa mfano, Korea ya Kaskazini wana majengo mazuri, miundombinu na mpaka nguvu za nyuklia lakini watu wake hawana uhuru wa kujiamulia mambo yao.

Kama ilivyo Korea ya Kaskazini, Tanzania tunahitaji kukombolewa ili wananchi wawe na sauti na kujiamulia mambo yao. Ifikapo siku ya kupiga kura Watanzania tuchague maendeleo ya vyote, tuchague UHURU, KAZI NA MAENDELEO.

Haya kwenye picha ni "maendeleo" ya Korea ya Kaskazini.

View attachment 1603936

View attachment 1603935View attachment 1603930
Wananchi wa Korea wanaishi chini ya koloni la Kim jong III
 
Back
Top Bottom