Kibo10 JF-Expert Member Aug 20, 2013 11,277 8,840 Jan 2, 2014 #1 Kiongozi wa nchi hiyo Kim Jong-un amesema uamuzi wa kumnyonga mjomba wake Chang Song-thaek kwa kosa la uhaini, umeongeza umoja wa kitaifa.
Kiongozi wa nchi hiyo Kim Jong-un amesema uamuzi wa kumnyonga mjomba wake Chang Song-thaek kwa kosa la uhaini, umeongeza umoja wa kitaifa.
DZUDZUKU JF-Expert Member Nov 8, 2012 3,907 2,092 Jan 2, 2014 #2 Wlifanya vile ili kila mtu atii serikali na kuonesha serikali haina ubaguzi. (every one is expendable)
Wlifanya vile ili kila mtu atii serikali na kuonesha serikali haina ubaguzi. (every one is expendable)
Peter jaluo JF-Expert Member Nov 10, 2013 1,750 248 Jan 2, 2014 #3 She ria ingekwepo bongo wangenyoka
Songambele JF-Expert Member Nov 20, 2007 4,695 2,553 Jan 2, 2014 #4 Peter bongo ungemaliza wote na dunia ingepiga kelele.
Watu8 Platinum Member Feb 19, 2010 70,963 93,946 Jan 2, 2014 #5 Songambele said: Peter bongo ungemaliza wote na dunia ingepiga kelele. Click to expand... Ulikuwa na maana gani hapa? au ndio swagg za neno "pita"...
Songambele said: Peter bongo ungemaliza wote na dunia ingepiga kelele. Click to expand... Ulikuwa na maana gani hapa? au ndio swagg za neno "pita"...