Kopo la Chooni nina kinyaa nalo!!

ukiwa na utaratibu wa kula balance diet kitakachotoka hakina haja ya kubaki kwenye tigo...unaweza hata usichambe
ttz ss waswahili vyakula vyetu vinatufanya ukienda toi unahamia na ukitoka macho mekundu na kuna uwezekano hata tigo ukaichubua..

wenzetu wazungu wanatumia TP coz menu zao ziko poa....
ushauri - tukumbuke kula matunda kwa sana......TP na water zitakuwa hazina umuhimu
 
TP na water zitakuwa hazina umuhimu
Hapo umeniacha hoi. Watu matunda ya Morogoro na Tanga tunapiga kwa sana lakini kujisafisha ni lazima.Kuna jamaa yangu mmoja aliwahi kuniambia mwanaume inatakiwa ukitoka chooni jicho liwe jekunduuu kama umevuta bangi!! Tatizo watu wengi hawajui kuwa kuna mzunguko wa masaa 24 ambao kila ukifika mtu unatakiwa ukajisaidie lakini wengine wanajidai kujibana hapo ndipo kuchubuka kunapokuja.
 
Hapo umeniacha hoi. Watu matunda ya Morogoro na Tanga tunapiga kwa sana lakini kujisafisha ni lazima.Kuna jamaa yangu mmoja aliwahi kuniambia mwanaume inatakiwa ukitoka chooni jicho liwe jekunduuu kama umevuta bangi!! Tatizo watu wengi hawajui kuwa kuna mzunguko wa masaa 24 ambao kila ukifika mtu unatakiwa ukajisaidie lakini wengine wanajidai kujibana hapo ndipo kuchubuka kunapokuja.

duh..kuna mshikaji mmoja alikata kimba pana na fupi..unaambiwa kitu kimetokeza nusu,nusu imebaki ndani, kila akijikwinya kitu hakitoki wala hakikatiki...mchizi akakivuta kwa mkono...
 
Unajua tatizo letu ahtujui matumizi ya toilet paper. Toilet paper kazi yale ni kukausha maji kwenye kinyeo baada ya kutawaza lakini nashangaa watu wamegeuza toilet paper kuwa ndio chambio. Kwa ufahamu wangu mimi najua kuwa kitu chochote kichafu ili kitakate lazima kisafishwe kwa maji na sabuni. sasa kama wewe ukichambia toilet paper unategemea hicho kinyero kitakuwa kisafi kweli? Si ndio mwanzo wa kuanza kunuka mavi na pia mavi kugandia katika chupi? na ndio maana wapenzi huwa wanashindwa kutushukia huko chini kutokana na harufu kali wanayokutana nayo ambayo inasababishwa na kutochamba vizuri
 
Unajua tatizo letu ahtujui matumizi ya toilet paper. Toilet paper kazi yale ni kukausha maji kwenye kinyeo baada ya kutawaza lakini nashangaa watu wamegeuza toilet paper kuwa ndio chambio. Kwa ufahamu wangu mimi najua kuwa kitu chochote kichafu ili kitakate lazima kisafishwe kwa maji na sabuni. sasa kama wewe ukichambia toilet paper unategemea hicho kinyero kitakuwa kisafi kweli? Si ndio mwanzo wa kuanza kunuka mavi na pia mavi kugandia katika chupi? na ndio maana wapenzi huwa wanashindwa kutushukia huko chini kutokana na harufu kali wanayokutana nayo ambayo inasababishwa na kutochamba vizuri

kaka nilijua umejifungia chumbani unapiga msuli!!jf is so f***ing addictive...u been warned
 
Unajua tatizo letu ahtujui matumizi ya toilet paper. Toilet paper kazi yale ni kukausha maji kwenye kinyeo baada ya kutawaza lakini nashangaa watu wamegeuza toilet paper kuwa ndio chambio. Kwa ufahamu wangu mimi najua kuwa kitu chochote kichafu ili kitakate lazima kisafishwe kwa maji na sabuni. sasa kama wewe ukichambia toilet paper unategemea hicho kinyero kitakuwa kisafi kweli? Si ndio mwanzo wa kuanza kunuka mavi na pia mavi kugandia katika chupi? na ndio maana wapenzi huwa wanashindwa kutushukia huko chini kutokana na harufu kali wanayokutana nayo ambayo inasababishwa na kutochamba vizuri

Ninavyoelewa mimi ni kuwa wanaotumia toilet paper hawatumii tena maji. Tembea nchi nyingi isipokuwa za Uarabuni labda utaona ni hivyo. Kuingiza mkono huko na baada ya kujisaisaidia haja kubwa siyo ustaarabu wao.

Swali langu mimi ni kwetu sisi na mazingira yetu ya Uswahilini ambako kuna kopo la maji tu bila sabuni. Kipi ni bora, kutumia toilet paper au maji? Ukitumia maji hutaweza kusafisha sehemu zote mbili, kinyero na mikono. Mimi nimekaa Uswahilini DSM. Mtoto akitoka haja mama anachukua kopo la maji na kumsafisha bila sabuni. Yeye na mtoto wanakuwa wamechafuka. Hiyo ndiyo hali halisi.
 
Ninavyoelewa mimi ni kuwa wanaotumia toilet paper hawatumii tena maji. Tembea nchi nyingi isipokuwa za Uarabuni labda utaona ni hivyo. Kuingiza mkono huko na baada ya kujisaisaidia haja kubwa siyo ustaarabu wao.

Swali langu mimi ni kwetu sisi na mazingira yetu ya Uswahilini ambako kuna kopo la maji tu bila sabuni. Kipi ni bora, kutumia toilet paper au maji? Ukitumia maji hutaweza kusafisha sehemu zote mbili, kinyero na mikono. Mimi nimekaa Uswahilini DSM. Mtoto akitoka haja mama anachukua kopo la maji na kumsafisha bila sabuni. Yeye na mtoto wanakuwa wamechafuka. Hiyo ndiyo hali halisi.

Hilo nalifahamu kabisa mkuu lakini yote ni kwa sababu ya kukosa ufahamu wa kutosha kuhusu hilo jambo
 
Mkuu Kigarama,
Sasa toilet paper itasafisha mpaka vijweleo vyote bila maji?
 
Kwani huwa siogi? Toilet paper huwa zinatumika dunia nzima kama yanavyotumika maji. Tatizo la haya makopo ni jinsi gani wengine wanayatumia, huwezi jua mwenzio aliyekutangulia chooni ana aina gani ya kulishika na kulitumia hilo kopo!

Bwana toilet paper ni kubaki na uchafu tu.. kumbe ndo maana huwa nasikia harufu mbofu mbofu tukipishana.. sikujua kumbe ni sababu ya lutumia toilet paper..
 
Bwana toilet paper ni kubaki na uchafu tu.. kumbe ndo maana huwa nasikia harufu mbofu mbofu tukipishana.. sikujua kumbe ni sababu ya lutumia toilet paper..


Kwa kweli usijue ni nini kitakuwa kinamfanya huyo mtu anuke. Inawezekana ni kinyero au pengine kinyero na mikono.
 
Unajua tatizo letu ahtujui matumizi ya toilet paper. Toilet paper kazi yale ni kukausha maji kwenye kinyeo baada ya kutawaza lakini nashangaa watu wamegeuza toilet paper kuwa ndio chambio. Kwa ufahamu wangu mimi najua kuwa kitu chochote kichafu ili kitakate lazima kisafishwe kwa maji na sabuni. sasa kama wewe ukichambia toilet paper unategemea hicho kinyero kitakuwa kisafi kweli? Si ndio mwanzo wa kuanza kunuka mavi na pia mavi kugandia katika chupi? na ndio maana wapenzi huwa wanashindwa kutushukia huko chini kutokana na harufu kali wanayokutana nayo ambayo inasababishwa na kutochamba vizuri
Hata kama unatumia maji lakini hujisafishi vizuri ni lazima utanuka shombo, tena shombo baya ajabu!!
 
Mkuu Kigarama,
Sasa toilet paper itasafisha mpaka vijweleo vyote bila maji?
Kama siku nzima huogi hilo ni tatizo, lakini unatumia Toilet na jioni na asubuhi unaoga huo uchafu uliobakia wakati wa kujisaidia si ndiyo unausafisha?
 
Kwenye nyumba nyingi za kupanga Uswahilini chooni kunakuwa na Kopo la kutawazia, na mara nyingi hutumbukizwa kwenye ndoo ya maji iliyopo chooni. Lakini mbali ya shida ya kulenga shimo la choo au kukwepa maji yanayotoka ndani ya shimo la choo, kero kubwa na kinyaa changu kiko kwenye kutumia makopo ya chooni kwenye kutawazia. Mimi huwa na toilet Paper mfukoni ili nikiibukia uswazi nisitumie kopo la chooni.

Sijui na wewe unatumia makopo unayoyakuta chooni kwa ajili ya kutawazia?
Unaweza kutueleza kinagaubaga, ni nini hasa kinachokyufanya ulione kopo la chooni kuwa na kinyaa?
 
Kama siku nzima huogi hilo ni tatizo, lakini unatumia Toilet na jioni na asubuhi unaoga huo uchafu uliobakia wakati wa kujisaidia si ndiyo unausafisha?

Mmm!! Hii umenikumbusha kule Makete kuna jamaa wanajisaidia haja kubwa halafu wanajibuluza chini ya ardhi ndio kujitawaza.
 
lakini kama kimba lako mara nyingi lina urojo urojo na jepesi ni issue bila maji ya kutosha . Lakini kwa wale wanafofyatua mbolea ngumu ngumu ama ya mbuzi hata tissue haina maana . mradi umechana msamba vizuri na hufanyi haraka kumaliza shughuli kitu kinatoka bila kuacha masalia kwenye tigo.....Na hapo no tunakuja wenye suala lingine la aina ya choo. Choo Kizuri ni cha kuchuchumaa maana kinaruhsusu pressure ya kimba litoke vizuri zaidi kuliko ile ya kukaa.
Duh mkuu uko deep kwenye hii topic sina swali kabisaa
 
Kitu hii ni kujiprogram tu kama hakuna tatizo la kiafya litakalotokea..unatakiwa ufanye hii biashara mara 1 tu kwa siku wakati unaoga then mpaka time nyingine unapooga tena.
 
Kitu hii ni kujiprogram tu kama hakuna tatizo la kiafya litakalotokea..unatakiwa ufanye hii biashara mara 1 tu kwa siku wakati unaoga then mpaka time nyingine unapooga tena.


Ni kweli kwa kiasi kikubwa kuwa ukizoea kufanya mambo yako mida fulani basi itakuwa hivyo siku zote. Lakini cha msingi ni kuwa itatokea wakati inabidi ufanye nje ya muda wako. Na vile vile kuna swala la namna ya kuwasafisha watoto mahali ambapo hakuna sabuni kama kulivyo Uswahilini au safarini. Tukiwa safarini tunaona mama anateremka na mtoto na chupa ya maji ya kusafishia mtoto - hakuna sabuni. Anamsafisha mtoto anarudi kwenye gari na kuanza kula vyakula mbalimbali. Tukumbuke kuwa kinyesi cha binadamu hakitoki kwenye mikono bila kutumia sabani, hasa sabani maalum kama Dettol - mikono ya binadamu ina michirizi midogomidogo na kucha ambavyo vinaweza kuficha uchafu.
 
hivi kwanza kuna haja na ulazimakwa kuhangaika kusafsha jalala la taka taka liwe safi kama nyumba ...
 
Back
Top Bottom