Kigarama
JF-Expert Member
- Apr 23, 2007
- 2,492
- 1,230
Kwenye nyumba nyingi za kupanga Uswahilini chooni kunakuwa na Kopo la kutawazia, na mara nyingi hutumbukizwa kwenye ndoo ya maji iliyopo chooni. Lakini mbali ya shida ya kulenga shimo la choo au kukwepa maji yanayotoka ndani ya shimo la choo, kero kubwa na kinyaa changu kiko kwenye kutumia makopo ya chooni kwenye kutawazia. Mimi huwa na toilet Paper mfukoni ili nikiibukia uswazi nisitumie kopo la chooni.
Sijui na wewe unatumia makopo unayoyakuta chooni kwa ajili ya kutawazia?
Sijui na wewe unatumia makopo unayoyakuta chooni kwa ajili ya kutawazia?