Kopesha ushangazwe

Ni hatari sana Mkuu tutashidwa kusaidiana kisa kukosa uaminifu Mdogo Mdogo.
 
😁😁 Kitambi na unadaiwa Mkuu.
 
Aisee noma Sana Mkuu hasara tupu.
 
Aisee noma Sana Mkuu sijui huwa wanawaza nini au tuseme umasikini.
 
Hahaa wewe ni mdhulumaj tu huna lolote
 
Inakera mno kuanza kufatilia den wakati mtu anatakiwa alete mwenyewe tu
 
Mimi Kuna jamaa mtu mzima Aliniambia nikopeeshe jero ntantalilalila nyingi halafu ni mtu mzima nikmuona mjinga tu afadhlali angeniambia niungie jero hadi Ile sehemu akawa anaogopa kuja mwingine nitakuletea ela yako kwenye biashara ni watu wajinga na kuwapuuzia ila kama deni kubwa mfuate mtu muulize shida nini?
 
Hakika Mkuu mambo yasiwe mengi.
 
1.Nimebwagiwa simu ya tachi kwa elfu 20 kwa ahadi ya kulipa ndani ya wiki moja lakini mwezi unakata sasa na yupo kimya tu.
2.Mwengine mpangaji mwezangu naye mwaka unakakaribia kukata kwa ahadi ya wiki moja atarejesha,nimebaki namwangalia tu na alivyo kauzu akipataga changamoto ananikimbilia vidogo nam save vikubwa namwambia sina ata kama ninacho.
 
Maelezo yako nimeyapima na kuona kuwa huyo classmet wako ashakuwa tapeli.

Lakini mbinu hiyo pia hutumiwa na wanawake kumpata mwanaume wanayemtamani, wanasema 'kukuelewa', sazingine mitego inakuwa haikunasi na huna hili wala lile.

Mbinu anayotumia kujenga mazoea ya kukufikia, anakuja na gia ya kukukopa.

Sasa katika kupigiana simu za kudaiana, ndounakuta humo humo kaweka nyavu zake.

Kunakuwa na options mbili tu hapo, 'ule uliwe au uliwe bila kula'.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…