Koo langu linahifadhi chakula kama kuku

Koo langu linahifadhi chakula kama kuku

napenda kula nikiwa nachati
yaani siwezi tulia kwa kweli , huwa nakuta chakula kimekwisha ghafla na koo kuniuma!

Kapime ubongo.. kuna tatizo la kisaikolojia.. au ulikulia sehemu yenye ukamae na njaa.. unga robo
 
mkuu H20 nashukuru sana ila nimeelewa baadhi kwa sababu hiyo lugha shida sana aisee!
 
Last edited by a moderator:
changarawe na juice ya cement, wee..........unaajenda ya kunimaliza mimi na koo langu?!!
Dawa yako imenishinda!

Wataalam umewakataa lugha umesema kidogo ngumu sasa ngoja nikutafutie mganga wa kienyeji akumalize
 
Wataalam umewakataa lugha umesema kidogo ngumu sasa ngoja nikutafutie mganga wa kienyeji akumalize

basi nimekubali mkuu picchu
kuna jamaa hapa kanishauri niwe nakunywa uji!
 
Last edited by a moderator:
Ushauri mwingine utasema ni sawa na nguvu za giza;
hivi ni lini tutakuwa walau waungwana kidogo.
 
kwenye kuku huwa hiyo hali ina faida gani? Je wewe hutaki faida hiyo? Kuna kitu kinaitwa evolution. Labda ndo inaanzia kwako na vizazi vijavyo vtakuwa hivyo. Kumbuka binadamu tulivyo sasa sio tulivyoanza, kumekuwepo na maboresho kulingna na mahitaji na ugunduzi mbalimbali. Hata Microsoft ana version mbalimbali za Windows
[emoji1] [emoji1] [emoji1]
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom