Majigo
JF-Expert Member
- Feb 23, 2012
- 5,519
- 1,831
Jamani hali hii inanisumbua kila ninapokula , kuna chakula hubakia kooni hivyo hunifanya ninywe maji mara kwa mara ili kukulazimisha kishuke tumboni, lakini bado hung'ang'ania kooni na kuniletea harufu mbaya ya kinywa
Madokta nifanyeje ili ninapokula , chakula chote kishuke tumboni?
Sina raha na koo yangu jamani!
Madokta nifanyeje ili ninapokula , chakula chote kishuke tumboni?
Sina raha na koo yangu jamani!