Kontena chachu ya maendeleo

kapug

Member
May 31, 2010
39
6
Wadau,

Tukiwa na siku tatu tangu tusheherekee sikukuu ya wafanyakazi tanzania,siku ambayo kwangu nilizidi kukata tamaa kutokana na kauli ya rais wetu kwenye hotuba yake kutamka kuwa kufungua kontena ni chanzo kizuri cha ajira na akisisitiza kuzalisha mabaamedi,makuli na wapishi mimi kwa mtazamo wangu sikutarajia kauli kama hii itoke kwa rais wa nchi hivi wadau nyie mnaonaje?
 
Back
Top Bottom