kapug
Member
- May 31, 2010
- 39
- 6
Wadau,
Tukiwa na siku tatu tangu tusheherekee sikukuu ya wafanyakazi tanzania,siku ambayo kwangu nilizidi kukata tamaa kutokana na kauli ya rais wetu kwenye hotuba yake kutamka kuwa kufungua kontena ni chanzo kizuri cha ajira na akisisitiza kuzalisha mabaamedi,makuli na wapishi mimi kwa mtazamo wangu sikutarajia kauli kama hii itoke kwa rais wa nchi hivi wadau nyie mnaonaje?
Tukiwa na siku tatu tangu tusheherekee sikukuu ya wafanyakazi tanzania,siku ambayo kwangu nilizidi kukata tamaa kutokana na kauli ya rais wetu kwenye hotuba yake kutamka kuwa kufungua kontena ni chanzo kizuri cha ajira na akisisitiza kuzalisha mabaamedi,makuli na wapishi mimi kwa mtazamo wangu sikutarajia kauli kama hii itoke kwa rais wa nchi hivi wadau nyie mnaonaje?