cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,077
- 46,325
Na Mimi nilijikita kwenye mtazamo wangu wa Hilo jambo
Nakupa matibabu ili japo upate nafuu,Kumbe unataka ligi katafte size yako Mimi hushindana na wanawake wenzangu
kwanini usitafte tiba coz wewe ni useless man, unahangaika na wanawake mfyuuuuNakupa matibabu ili japo upate nafuu,
Wazazi wako wana hasara kubwa kuzaa kituko.
hayaNimekuelewa mkuu
Mh...Usifanye hivyo, usimkane Bwana Mungu kwa kuwa una ID isiyojulikana kwa watu my dear.Mimi huwa silali kabisa vizuri utafte wa Imani yako
Na wewe ni mwanamke!?kwanini usitafte tiba coz wewe ni useless man, unahangaika na wanawake mfyuuuu
Unaona akili yako ilivyo oza? kwahiyo unataka wanaume wote wapeleke vyombo nje sayari yetu? ndio uliambiwa kua hicho ndio kipimo cha akili?Wewe ndo uanze nadose wanaume wenzako wanapeleka vyombo nje ya sayari yetu wewe kidume unajifanya na uchungu na dini kuliko walioileta
Soma uelewe ndilicho andika. Maana Mwenye hekima ufikili jinsi ya kujibu. Unajiaibisha kwa kusinzia wakati mavunoUnajichosha tu na huyo shetani wako Baki naye sihitaji maelezo mimi
Alitaka aonyeshe marehemu ndiyo angekubaliRafiki, hao wanaweza kuwa na mapungufu yao na maoni yako yana tija sana tu. Lakini huu uzi umejikita kwenye kutambua hekima aliyoionyesha Rais Uhuru kutoka kwa akina MK254
Alifanya nicheke sana, kumbe hukuwa ameiskia fresh hiyo line 😂Mkalimani amechapia sehemu kwenye hotuba ya rais wa SA watu wakazomea😄😄😄😄kumbe Tz weng wanajua kudhungu bwana🤣🤣🤣
Rais Kenyatta ameonyesha kuheshimu dini ya waislamu and i salute him for that respect ,na marehemu JPM pia kama munakumbuka amewahi kuchangia hela kwa ajili ya ujenzi ya msikiti ,kwaiyo bravo!! kwao.Nimeshangaa sana. Huku kwetu hata kiongozi angekuwa muislam huo muda hatuna. Wenzetu wako mbali sana kwenye kuheshimu imani za wengine
Huyo kiumbe zimesha fyatuka,wa hivyo ukimjibu kwa busara hawezi kukuelewa,huyo dawa yake ni kumpokea kama anavyokuja.Soma uelewe ndilicho andika. Maana Mwenye hekima ufikili jinsi ya kujibu. Unajiaibisha kwa kusinzia wakati mavuno
Mkuu,nikukumbushe pia,Rais Kenyatta ameonyesha kuheshimu dini ya waislamu and i salute him for that respect ,na marehemu JPM pia kama munakumbuka amewahi kuchangia hela kwa ajili ya ujenzi ya msikiti ,kwaiyo bravo!! kwao.
😂 😂 😂 😂 🤣🤣🤣🤣🤣👌👌👌Hahaha ukiona hivyo bac copulation zako zilikuwa useless kwake yaan mpaka ana imba na kwayaaa
Jiulize iyo akili yake iliwezaje kukumbuka wimbo ? Iyo ima prove yaan yy alikuwa hayupo na ww.
Yani nifatilie mtu asiyenihusu Ili iweje sasa na comments kilichoandikwa humu
Alitaka aonyeshe marehemu ndiyo angekubali