Wakuu Habarini.
Ijulikane kwamba Taifa huwa na hafla mbalimbali, lakini pia ni lazima kunakuwepo na washehereshaji wa shughuli husika.
Hata kama hamjapongezwa na waTanzania mimi nimeamua kuwapongeza hapa JamiiForums.
Kwanza, kwa nianze kumpa kongole nyingi sana huyu Bw. Shaban Kisu kwa utendaji wake. Nimemfuatilia sana ni mzee mmoja ambaye anayefuata itifaki(protocol) sana kwenye shughuli zake.
Pili nimpe kongole nyingi DPC Gerson Msigwa, yupo kwenye kitengo cha mawasiliano Ikulu pale Chamwino, jamaa mmoja ambaye ana sauti special sana akiwa anazungumza + protocol ya hali ya juu.
Mwisho lakini sio kwa umuhimu: Kongole nyingi kwa MPOKI, huyu Bwana Mkubwa kwenye vita ya maneno hafai, huyu yupo idara za Harusi, events za wasanii etc.
Vipi kwenu wakuu mna lolote la kuongezea?
Pokeeni salaamu zangu.
Ni hayo tu.
NAWASILISHA.
Ijulikane kwamba Taifa huwa na hafla mbalimbali, lakini pia ni lazima kunakuwepo na washehereshaji wa shughuli husika.
Hata kama hamjapongezwa na waTanzania mimi nimeamua kuwapongeza hapa JamiiForums.
Kwanza, kwa nianze kumpa kongole nyingi sana huyu Bw. Shaban Kisu kwa utendaji wake. Nimemfuatilia sana ni mzee mmoja ambaye anayefuata itifaki(protocol) sana kwenye shughuli zake.
Pili nimpe kongole nyingi DPC Gerson Msigwa, yupo kwenye kitengo cha mawasiliano Ikulu pale Chamwino, jamaa mmoja ambaye ana sauti special sana akiwa anazungumza + protocol ya hali ya juu.
Mwisho lakini sio kwa umuhimu: Kongole nyingi kwa MPOKI, huyu Bwana Mkubwa kwenye vita ya maneno hafai, huyu yupo idara za Harusi, events za wasanii etc.
Vipi kwenu wakuu mna lolote la kuongezea?
Pokeeni salaamu zangu.
Ni hayo tu.
NAWASILISHA.