mrxtz2026
JF-Expert Member
- Jan 24, 2026
- 214
- 206
Mh, itafika kipindi Masheikh watakosa kuheshiwa kutokana na shida, dhiki na njaa za baahi ya masheikh,
Mimi kwa mtazamo wangu, hiki kitu napenda kukiita njaa, dhidi, uchawa, na shida za mwana kwenda.