Kongamano la Katiba Mpya larindima Buchosa

Kongamano la Katiba Mpya larindima Buchosa

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
137,306
Reaction score
271,606
Wale vijana bora na tegemeo la Taifa wanaoitwa Bavicha , leo wameendesha kongamano kabambe la Katiba Mpya kwenye Jimbo la Buchosa , ambapo viongozi mbali mbali wametoa mada kuhusu umuhimu wa Katiba mpya na Tume huru ya uchaguzi .

Mwitikio na hamasa ya wananchi si haba .

Hapa ni Kata ya Kazunzu

Viongozi_wa_Bavicha_Taifa_wakiongozwa_na_mwenyekiti_Mh._John_Pambalu_Muda_huu_wapo__Jimbo_la_B...jpg
 
Wale vijana bora na tegemeo la Taifa wanaoitwa Bavicha , leo wameendesha kongamano kabambe la Katiba Mpya kwenye Jimbo la Buchosa , ambapo viongozi mbali mbali wametoa mada kuhusu umuhimu wa Katiba mpya na Tume huru ya uchaguzi .

Mwitikio na hamasa ya wananchi si haba .

Hapa ni Kata ya Kazunzu

View attachment 2163084
Shikilia hapo hapo.

Lakini sasa ni lazima muwe na mkakati maalum na mpangilio mzuri wa haya mambo yote mnayofanya, isije ikawa ni moto wa mabua.

Hawa wanaohudhuria makongamano, inaelekea wengi wao tayari ni wanachama wenu au wapenzi wa chama. Hakikisheni hawa wanaiva vizuri kutokana na makongamano hayo, na hawa ndio watakaoeneza habari kwa wananchi wote nchi nzima.

Yasije yakawa madoidoi tu, wanapotoka hapo na wao wasiwe wanajuwa kitu!

Kumbukumbu zenu zinaonyesha maendeleo mnayofanya hadi sasa? Mnayo 'feedback' ya kujuwa wapi pana udhaifu ili mrekebishe mapema?
Mnajuwa mmepata mafanikio kiasi gani hadi sasa, tokea muanze shughuli hizi?

Ni lazima mfanye mambo kisayansi, vinginevyo hata wakati mkiboronga bila ya kufanyiwa faulo yoyote, msigeuke kulaumu wengine kwa lawama zinazowahusu nyinyi wenyewe kwa kutojuwa mnachofanya na matokeo yake ni yapi.

Ushauri ni ushauri tu.
 
Wale vijana bora na tegemeo la Taifa wanaoitwa Bavicha , leo wameendesha kongamano kabambe la Katiba Mpya kwenye Jimbo la Buchosa , ambapo viongozi mbali mbali wametoa mada kuhusu umuhimu wa Katiba mpya na Tume huru ya uchaguzi .

Mwitikio na hamasa ya wananchi si haba .

Hapa ni Kata ya Kazunzu

View attachment 2163084
Leta picha yenye kuleta uhalisia sio hii ya mchongo!
commonmwananchi
10101
2022.
 
Shikilia hapo hapo.

Lakini sasa ni lazima muwe na mkakati maalum na mpangilio mzuri wa haya mambo yote mnayofanya, isije ikawa ni moto wa mabua.

Hawa wanaohudhuria makongamano, inaelekea wengi wao tayari ni wanachama wenu au wapenzi wa chama. Hakikisheni hawa wanaiva vizuri kutokana na makongamano hayo, na hawa ndio watakaoeneza habari kwa wananchi wote nchi nzima.

Yasije yakawa madoidoi tu, wanapotoka hapo na wao wasiwe wanajuwa kitu!

Kumbukumbu zenu zinaonyesha maendeleo mnayofanya hadi sasa? Mnayo 'feedback' ya kujuwa wapi pana udhaifu ili mrekebishe mapema?
Mnajuwa mmepata mafanikio kiasi gani hadi sasa, tokea muanze shughuli hizi?

Ni lazima mfanye mambo kisayansi, vinginevyo hata wakati mkiboronga bila ya kufanyiwa faulo yoyote, msigeuke kulaumu wengine kwa lawama zinazowahusu nyinyi wenyewe kwa kutojuwa mnachofanya na matokeo yake ni yapi.

Ushauri ni ushauri tu.
Ushauri wako umepokelewa , ukitaka kujua haya mambo kwa undani siku moja nitakuwekea takwimu mpya za Chadema Digital
 
Ushauri wako umepokelewa , ukitaka kujua haya mambo kwa undani siku moja nitakuwekea takwimu mpya za Chadema Digital
Ahsante mkuu, lakini hapana, usifanye hivyo kwa minajili yangu, bali kuwa nazo karibu karibu kujibu hoja za wanaowazodoa mara kwa mara hapa jukwaani.
Njia hiyo itawafunga midomo wasiowatakia mema.
 
Kuna lile kundi lililoshikiwa akili la UVCCM wao wanaendana na fursa na biti za Rais, kwasasa msimamo wao ni kua katiba mpya siyo hitaji la waTanzania kisa tu mtu flani amesema.
Siku huyo mtu akisema jamani tunahitaji katiba mpya utawaona wanageuka Kama matete au tiyara inavyopelekwa na upepo.

CCM ingekua chama kizuri Kama ingekua haifungamani na Serikali, nikiimanisha viongozi wa kiserikali watokane usahili siyo uteuzi.
 
Wale vijana bora na tegemeo la Taifa wanaoitwa Bavicha , leo wameendesha kongamano kabambe la Katiba Mpya kwenye Jimbo la Buchosa , ambapo viongozi mbali mbali wametoa mada kuhusu umuhimu wa Katiba mpya na Tume huru ya uchaguzi .

Mwitikio na hamasa ya wananchi si haba .

Hapa ni Kata ya Kazunzu

View attachment 2163084
Buchosa wameonesha njia hongera saaana!
 
Wale vijana bora na tegemeo la Taifa wanaoitwa Bavicha , leo wameendesha kongamano kabambe la Katiba Mpya kwenye Jimbo la Buchosa , ambapo viongozi mbali mbali wametoa mada kuhusu umuhimu wa Katiba mpya na Tume huru ya uchaguzi .

Mwitikio na hamasa ya wananchi si haba .

Hapa ni Kata ya Kazunzu

View attachment 2163084
Hiki chama kimepita vyama vyote. Baraza la Bavicha lakini hadi wazew wamejaa
 
Back
Top Bottom