Mtemi mpambalioto
JF-Expert Member
- Aug 23, 2015
- 3,263
- 7,397
i cant wait! uniambie wiki kabla! niombe ruhusa jobTunatarajia iwe pwani tutapeana updates
i cant wait! uniambie wiki kabla! niombe ruhusa jobTunatarajia iwe pwani tutapeana updates
Hivi hujawahi kupata ajali kazini mfano kuanguka na ungo nk,maana dah umeiva mno!Tunatarajia iwe pwani tutapeana updates
Hivi mkuu ujaachaga tu uchawi maana zamani ulikua na mada tata!Katika ulimwengu wa wachawi, maji anga na ardhi ni kitu kimoja..Ni vitu vitatu ndani ya kitu kimoja..Ni sawa na maji, moto,hewa na ardhi
Kuacha uchawi?Hivi mkuu ujaachaga tu uchawi maana zamani ulikua na mada tata!
Hivi kati ya anga, ardhi Na maji wachawi wanaanza kukamata kipi kabla hawajateka eneo?
Mkuu nimekupataNi wakati sasa haya mambo kuyaweka hadharani.. Kuyaweka wazi.... Kuna siku kadha sikuwepo hewani... Kwa wale baadhi niliowasiliana nao kwa njia za kawaida za miito ya simu niliwaambia niko bush training... Wengi wao wakaniuliza training ya nini... SIKUWAJIBU.....
Mimi si mchawi wala si mshirikina bali ni mdau shabiki kwenye hizo fani... Nimeombwa na wana kitengo wale wa kilingeni kutoa ufafanuzi kwa yale yanayotokea yakionekana kama ni matukio halisi
Kongamano lijalo ni kubwa na litakuwa maalum kwa wale wote wanaopenda kitu kinachoitwa kwa kizungu fantasy witchcraft... Uchawi usio na madhara wenye nia ya kujifurahisha tu lakini pia usiotumika vibaya kwa nia ya kujipatia kipato....
Kuna matukio yameanza kupata airtime ya vyombo vya habari.. Matukio ya ajabu ya kishirikina yenye kushangaza jamii... Baadhi yake ni haya
. Mwizi kuiba na kile alichoiba kung'ang'ania mwilini
. Mwizi kuiba na kuzingirwa na wadudu kama nyuki
. Watu kufanya ngono na kugandana... Nknk
Haya mambo yana historia na huibuka na kupotea kwa staili tofauti tofauti... Na yakianza nchi moja baada ya muda huhamia nchi nyingine.....
Kwa mwaka mzima wa jana kwa wale waangaliaji wa Tv KTN ya Kenya matukio hayo yalikuwa maarufu sana... Lakini baada ya muda yakagundulika na kuthibitika kwamba ni utapeli na mazingaombwe kwa nia ya kujipatia kipato! Sasa hivi Kenya huwaambii tena kuhusu hizo habari zimechuja na kudoda
Mambo haya sasa yanaibuka kwa kasi Tanzania.... Si kwamba hayakuwepo hapo zamani.. La hasha yalikuwepo japo zamani yalikuwa ni halisi....
Angalia vizazi vya haya matukio utajikuta hudanganyiki tena na siku ya kongamano ikifika utafaidika zaidi na kufumbuliwa na ithibati zisizoacha shaka!
. Tulianza na ramli (nyingi zikiwa chonganishi)
. Tukaja na tv asilia na kumuona mbaya wako live kwenye beseni la maji au ukutani
. Tukaja na kizazi cha utajiri kupitia viungo vya binadamu nk
Hapa mwendo ukabadilika kidogo... Ikaingia upgraded version fulimasoni.. Freemson na Pete za bahati, utajiri wa kufa na kuoza, jogoo na punje za mchele nk
Hapo hapo sambamba na hilo wakaanza kujitokeza manabii na mitume.... Hawa ni wale wale lakini kwa jina la Mungu... Na makanisa yao yakageuka nyumba za kutoa wachawi, kukinga wezi, maji na vitambaa vya baraka nk nk... Hawa wamepiga mipunga mirefu sana... Wametumia matatizo ya watu kujinufaisha
ETI
Wanaombea upate utajiri (wahanga wakubwa ni wapenda shortcut)
Wanaombea upate kazi (wahanga wakubwa ni wahitimu)
Wanaombea upate mchumba (wahanga wakubwa ni wanawake
Wanaombea wafu wafufuke.. (Wahanga wakubwa ni wavivu wa kusoma neno)
Miujiza ya kitapeli ikawakomba wengi.... Fasheni hii imechuja na watu wameshaanza kushtuka kuwa wanaibiwa mchana kweupee
Sasa tunarudi square one..... Uchawi wa kukamata wezi na wagoni.... Haya ni matangazo kichwa cha habari halafu hufuatiwa na maudhui
Kurudisha mali iliyopotea
Kumkinga mume/mke asitoke nje ya ndoa
Pete za bahati
Ndoa
Mali nk nk
Hakuna jipya chini ya jua... Mambo ni yale yale.. Changamoto ni zile zile.. Matatizo ni yale yale....
Waganga wa kienyeji
Wasoma nyota
Manabii
Mitume
Wapiga ramli nknk wote hawa ni waganga njaa katika kapu moja ila kila mtu akiwa na rangi yake
Kongamano lijalo litaweka wazi kila kitu
Litafanyikia ukumbi gani mkuu?Nimesahau kusema kongamano halitakuwa na kiingilio wala ada
Ni wakati sasa haya mambo kuyaweka hadharani.. Kuyaweka wazi.... Kuna siku kadha sikuwepo hewani... Kwa wale baadhi niliowasiliana nao kwa njia za kawaida za miito ya simu niliwaambia niko bush training... Wengi wao wakaniuliza training ya nini... SIKUWAJIBU.....
Mimi si mchawi wala si mshirikina bali ni mdau shabiki kwenye hizo fani... Nimeombwa na wana kitengo wale wa kilingeni kutoa ufafanuzi kwa yale yanayotokea yakionekana kama ni matukio halisi
Kongamano lijalo ni kubwa na litakuwa maalum kwa wale wote wanaopenda kitu kinachoitwa kwa kizungu fantasy witchcraft... Uchawi usio na madhara wenye nia ya kujifurahisha tu lakini pia usiotumika vibaya kwa nia ya kujipatia kipato....
Kuna matukio yameanza kupata airtime ya vyombo vya habari.. Matukio ya ajabu ya kishirikina yenye kushangaza jamii... Baadhi yake ni haya
. Mwizi kuiba na kile alichoiba kung'ang'ania mwilini
. Mwizi kuiba na kuzingirwa na wadudu kama nyuki
. Watu kufanya ngono na kugandana... Nknk
Haya mambo yana historia na huibuka na kupotea kwa staili tofauti tofauti... Na yakianza nchi moja baada ya muda huhamia nchi nyingine.....
Kwa mwaka mzima wa jana kwa wale waangaliaji wa Tv KTN ya Kenya matukio hayo yalikuwa maarufu sana... Lakini baada ya muda yakagundulika na kuthibitika kwamba ni utapeli na mazingaombwe kwa nia ya kujipatia kipato! Sasa hivi Kenya huwaambii tena kuhusu hizo habari zimechuja na kudoda
Mambo haya sasa yanaibuka kwa kasi Tanzania.... Si kwamba hayakuwepo hapo zamani.. La hasha yalikuwepo japo zamani yalikuwa ni halisi....
Angalia vizazi vya haya matukio utajikuta hudanganyiki tena na siku ya kongamano ikifika utafaidika zaidi na kufumbuliwa na ithibati zisizoacha shaka!
. Tulianza na ramli (nyingi zikiwa chonganishi)
. Tukaja na tv asilia na kumuona mbaya wako live kwenye beseni la maji au ukutani
. Tukaja na kizazi cha utajiri kupitia viungo vya binadamu nk
Hapa mwendo ukabadilika kidogo... Ikaingia upgraded version fulimasoni.. Freemson na Pete za bahati, utajiri wa kufa na kuoza, jogoo na punje za mchele nk
Hapo hapo sambamba na hilo wakaanza kujitokeza manabii na mitume.... Hawa ni wale wale lakini kwa jina la Mungu... Na makanisa yao yakageuka nyumba za kutoa wachawi, kukinga wezi, maji na vitambaa vya baraka nk nk... Hawa wamepiga mipunga mirefu sana... Wametumia matatizo ya watu kujinufaisha
ETI
Wanaombea upate utajiri (wahanga wakubwa ni wapenda shortcut)
Wanaombea upate kazi (wahanga wakubwa ni wahitimu)
Wanaombea upate mchumba (wahanga wakubwa ni wanawake
Wanaombea wafu wafufuke.. (Wahanga wakubwa ni wavivu wa kusoma neno)
Miujiza ya kitapeli ikawakomba wengi.... Fasheni hii imechuja na watu wameshaanza kushtuka kuwa wanaibiwa mchana kweupee
Sasa tunarudi square one..... Uchawi wa kukamata wezi na wagoni.... Haya ni matangazo kichwa cha habari halafu hufuatiwa na maudhui
Kurudisha mali iliyopotea
Kumkinga mume/mke asitoke nje ya ndoa
Pete za bahati
Ndoa
Mali nk nk
Hakuna jipya chini ya jua... Mambo ni yale yale.. Changamoto ni zile zile.. Matatizo ni yale yale....
Waganga wa kienyeji
Wasoma nyota
Manabii
Mitume
Wapiga ramli nknk wote hawa ni waganga njaa katika kapu moja ila kila mtu akiwa na rangi yake
Kongamano lijalo litaweka wazi kila kitu
Nahitaji kuhudhuria.Ni wakati sasa haya mambo kuyaweka hadharani.. Kuyaweka wazi.... Kuna siku kadha sikuwepo hewani... Kwa wale baadhi niliowasiliana nao kwa njia za kawaida za miito ya simu niliwaambia niko bush training... Wengi wao wakaniuliza training ya nini... SIKUWAJIBU.....
Mimi si mchawi wala si mshirikina bali ni mdau shabiki kwenye hizo fani... Nimeombwa na wana kitengo wale wa kilingeni kutoa ufafanuzi kwa yale yanayotokea yakionekana kama ni matukio halisi
Kongamano lijalo ni kubwa na litakuwa maalum kwa wale wote wanaopenda kitu kinachoitwa kwa kizungu fantasy witchcraft... Uchawi usio na madhara wenye nia ya kujifurahisha tu lakini pia usiotumika vibaya kwa nia ya kujipatia kipato....
Kuna matukio yameanza kupata airtime ya vyombo vya habari.. Matukio ya ajabu ya kishirikina yenye kushangaza jamii... Baadhi yake ni haya
. Mwizi kuiba na kile alichoiba kung'ang'ania mwilini
. Mwizi kuiba na kuzingirwa na wadudu kama nyuki
. Watu kufanya ngono na kugandana... Nknk
Haya mambo yana historia na huibuka na kupotea kwa staili tofauti tofauti... Na yakianza nchi moja baada ya muda huhamia nchi nyingine.....
Kwa mwaka mzima wa jana kwa wale waangaliaji wa Tv KTN ya Kenya matukio hayo yalikuwa maarufu sana... Lakini baada ya muda yakagundulika na kuthibitika kwamba ni utapeli na mazingaombwe kwa nia ya kujipatia kipato! Sasa hivi Kenya huwaambii tena kuhusu hizo habari zimechuja na kudoda
Mambo haya sasa yanaibuka kwa kasi Tanzania.... Si kwamba hayakuwepo hapo zamani.. La hasha yalikuwepo japo zamani yalikuwa ni halisi....
Angalia vizazi vya haya matukio utajikuta hudanganyiki tena na siku ya kongamano ikifika utafaidika zaidi na kufumbuliwa na ithibati zisizoacha shaka!
. Tulianza na ramli (nyingi zikiwa chonganishi)
. Tukaja na tv asilia na kumuona mbaya wako live kwenye beseni la maji au ukutani
. Tukaja na kizazi cha utajiri kupitia viungo vya binadamu nk
Hapa mwendo ukabadilika kidogo... Ikaingia upgraded version fulimasoni.. Freemson na Pete za bahati, utajiri wa kufa na kuoza, jogoo na punje za mchele nk
Hapo hapo sambamba na hilo wakaanza kujitokeza manabii na mitume.... Hawa ni wale wale lakini kwa jina la Mungu... Na makanisa yao yakageuka nyumba za kutoa wachawi, kukinga wezi, maji na vitambaa vya baraka nk nk... Hawa wamepiga mipunga mirefu sana... Wametumia matatizo ya watu kujinufaisha
ETI
Wanaombea upate utajiri (wahanga wakubwa ni wapenda shortcut)
Wanaombea upate kazi (wahanga wakubwa ni wahitimu)
Wanaombea upate mchumba (wahanga wakubwa ni wanawake
Wanaombea wafu wafufuke.. (Wahanga wakubwa ni wavivu wa kusoma neno)
Miujiza ya kitapeli ikawakomba wengi.... Fasheni hii imechuja na watu wameshaanza kushtuka kuwa wanaibiwa mchana kweupee
Sasa tunarudi square one..... Uchawi wa kukamata wezi na wagoni.... Haya ni matangazo kichwa cha habari halafu hufuatiwa na maudhui
Kurudisha mali iliyopotea
Kumkinga mume/mke asitoke nje ya ndoa
Pete za bahati
Ndoa
Mali nk nk
Hakuna jipya chini ya jua... Mambo ni yale yale.. Changamoto ni zile zile.. Matatizo ni yale yale....
Waganga wa kienyeji
Wasoma nyota
Manabii
Mitume
Wapiga ramli nknk wote hawa ni waganga njaa katika kapu moja ila kila mtu akiwa na rangi yake
Kongamano lijalo litaweka wazi kila kitu
Nimesahau kusema kongamano halitakuwa na kiingilio wala ada
Sawa mzee wa tunguriNgoja nitafakari kwanza kabla sijakujibu... Usije ukataka kujipatia point nyingine za bure
Mkuu niweke kwenye list jirani yangu ananikera sanaNimesahau kusema kongamano halitakuwa na kiingilio wala ada