Mamzalendo
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 1,670
- 558
DU ningejua mapema leo si ningeenda kujionea huu muujiza mwenyewe but anyway i dont think its a big deal unless our fellows give us the meaning of this miracle and what it means to them,
Khaaaaa! Una imani kali! Angalia vizuri ni hatari kwa usalama wako.Sio ushirikina hayo ni mambo ya MUNGU tena kumbuka huu ni mwezi mtukufu
mmefika mbali sasaHuyu Kondoo atakuwa mungu bana!....napanda dau mama, niuzie huyo kondoo; watu watakuja kwangu kumwabudu na mm nitatoza sadaka! tehe teh
dini nyingine bwana, soon huyo kondoo ataanza kuabudiwa
Ingekuwa wakatoliki hapo zingekuwa siasa 2,asingeenda mtu. Sababu madhehebu yaliyoenda shule hawaamini kitu fasta..
<br />Hivi huyo kondoo kazaliwa na KORAN au MAANDISHI YA KIARABU..??
Hahaha! Shetani atakuwa amekata mnyororo ndo mana waona hivi!..lolNijuavyo Mimi Shetani Hufungwa Minyororo Mwenzi Mtukufu Kulikoni Tena Humu Mwaongea Mabaya ya Kishetani Shetani Au Ni Sound tu Shetani Huwa Hafungwi!
<br />Mbona kuna Nguruwe wengi tu wanazaliwa na aya za Koran na sisi wala hatushituki?
<br />Huyo Mbuzi kaandikwa Koran au kaandikwa kiarabu?<br />
Hivi lugha ya kiarabu sasa imegeuka Korani.
<br /><font color="#800080"><font size="4"><span style="font-family: comic sans ms">hivi hakuna anayeielewa hiyo surat YASIN atuwekee yaliyomo humo......ili tuache malumbano yasiyo na maana?........</span></font></font>
<br />
<br />
Qoran is lugha ya mtu ni kitabu kitakatifu.lakini Qoran inaandikwa kwa kiarabu