Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 53,160
- 72,200
90-98
uhakika wa condom ni 98.99%.ukimwi upo na usiufanyie masihara please condomise
nan kakwambia mate yanaambukiza ukimwi???Ujinga Wa mwanamme.
Unavaa kondomu wakati mmenyonyana midomo ,, umenyonya matiti.
Anyway ,,, Kondom inazuia HIV ndio.
mbona watu wana gonga malaya kwa condom??Ukijibu swali hili, utakuwa umeweza kujua kama kondom inazuia virusi au huwa tunajiliwaza tu. Hivi ukitaka kufanya ngono na mtu ambaye humuamini na yeye anakuambia kuwa ni afadhali uvae tu maana yeye ana maambukizi, ni bora ujikinge, utaendelea na tendo?
Mungu akusaidie ,, ila duuuhhh mwalim wako alikua nakazi kweli kweli.nan kakwambia mate yanaambukiza ukimwi???
ushawahi kwenda kupima ukimw wakakuomba mate kwa ajili ya kupima badala ya damu??
kunyonyana sio tatzo unajua hata mama mwenye ukimwi ananyonyesha mtt kabla hajaota meno? mtt akishaota meno ndo mama anakatazwa coz mtt anakua anang'ata ndo tatzo...sasa ww mtu mzma labda kama umetokea kolomije ndo unanyonya hadi unang'ata
nan kakwambia mate yanaambukiza ukimwi???
ushawahi kwenda kupima ukimw wakakuomba mate kwa ajili ya kupima badala ya damu??
kunyonyana sio tatzo unajua hata mama mwenye ukimwi ananyonyesha mtt kabla hajaota meno? mtt akishaota meno ndo mama anakatazwa coz mtt anakua anang'ata ndo tatzo...sasa ww mtu mzma labda kama umetokea kolomije ndo unanyonya hadi unang'ata

Hapa cjaelewaKama haijapasaku inagonga 100% yaani 99.9999% ili kupata maambukizi inabidi probability nyingi sana zigongane kwa wakati mmoja kiasi cha kwamba ukivaa condom chance zako za kupigwa radi siku yenye jua kali ni kubwa zaidi.
Habarini za humu wadau,
Kuna kaswali kananitatiza sana hivi uhakika wa kondomu kuukinga mwili dhidi ya gonjwa la UKIMWI ni kwa asilimia ngapi.
Au niulize hivi labda inapotekea mtu ametumia kinga kujamiiana na mtu mwenye VVU inakua ni tahadhari zipi hajafuata katika matumizi ya kondomu.
Nishawahi kuwakata maji we vvu ,hadi wa3 tena wawil wakiwa blidi bahat mbaya. Situmiag kondom throughout my life, siwezi, kunamda najiuliza labdq kwasabab maumbile yangu ya dic****k ni membamba marefu, hvyo kuchubuka si rahs au mungu wang tu anlinda, au dam nzr cjui,
Hadi leo natom****b mwenye ako na vvu, namsihi aatumie dawa vzur na aache pombe.
Good fool
kondom inazuia utamu tu wa mapenzi na sio ukimwi. ukijiona ni mzizi halafu upati ukimwi basi ni bahati tu unakutana na watu salama. kama unadhani uongo tafuta mpenzi aliyeathirika na ukimwi fanya nae na kondom zaidi ya mara tano hivi then kapime uone.


aaaaah husiogopedooh kweli mitishano sio ya nchi hii![]()
lakini unachopaswa kujua katika kukutanisha midomo na kunyonyana kunakuwa na msuguana unaoweza leta michubuko au we mwenzetu mpenzi wako anakukusanyia mate wewe unayafyonza na kusepa bila ndimi na lipsi kusuguana?nan kakwambia mate yanaambukiza ukimwi???
ushawahi kwenda kupima ukimw wakakuomba mate kwa ajili ya kupima badala ya damu??
kunyonyana sio tatzo unajua hata mama mwenye ukimwi ananyonyesha mtt kabla hajaota meno? mtt akishaota meno ndo mama anakatazwa coz mtt anakua anang'ata ndo tatzo...sasa ww mtu mzma labda kama umetokea kolomije ndo unanyonya hadi unang'ata
aaah inawezekana ila husisahau kuipaka mafuta ya kula isiwe kavu sanakuuliza si ujinga....
hivi kwani ukikosa Condom si hata kanfuko keusi kale ka tsh 50/100/- unaweza tumia eeh..???