Kondomu ni kinga kwa asilimia ngapi?

Kondomu ni kinga kwa asilimia ngapi?

Kama haijapasaku inagonga 100% yaani 99.9999% ili kupata maambukizi inabidi probability nyingi sana zigongane kwa wakati mmoja kiasi cha kwamba ukivaa condom chance zako za kupigwa radi siku yenye jua kali ni kubwa zaidi.
 
Condom zimetubakiza wengi mpaka sasa...kama kupata ukifanya kavukavu ni endapo kukiwa na michubuko tu, sasa ukitumia na condom kwa usahihi uwezekano wakupata HIV ni sawa na hamna.....
 
64b30558c46b8cd643869576af341114.jpg
 
Habarini za humu wadau,

Kuna kaswali kananitatiza sana hivi uhakika wa kondomu kuukinga mwili dhidi ya gonjwa la UKIMWI ni kwa asilimia ngapi.

Au niulize hivi labda inapotekea mtu ametumia kinga kujamiiana na mtu mwenye VVU inakua ni tahadhari zipi hajafuata katika matumizi ya kondomu.
condom inazuia ukimwi kwa 70% hzo 30% ni za kissing na mauchafu mengne

so kijana usiache kutumia condom na kua makin na activity nyngne during sex
 
Ujinga Wa mwanamme.

Unavaa kondomu wakati mmenyonyana midomo ,, umenyonya matiti.


Anyway ,,, Kondom inazuia HIV ndio.
 
Habarini za humu wadau,

Kuna kaswali kananitatiza sana hivi uhakika wa kondomu kuukinga mwili dhidi ya gonjwa la UKIMWI ni kwa asilimia ngapi.

Au niulize hivi labda inapotekea mtu ametumia kinga kujamiiana na mtu mwenye VVU inakua ni tahadhari zipi hajafuata katika matumizi ya kondomu.

Inakukinga asilmia 80-90 ukiitumia kila Mara na ipasavyo
 
Ukijibu swali hili, utakuwa umeweza kujua kama kondom inazuia virusi au huwa tunajiliwaza tu. Hivi ukitaka kufanya ngono na mtu ambaye humuamini na yeye anakuambia kuwa ni afadhali uvae tu maana yeye ana maambukizi, ni bora ujikinge, utaendelea na tendo?
 
Ukijibu swali hili, utakuwa umeweza kujua kama kondom inazuia virusi au huwa tunajiliwaza tu. Hivi ukitaka kufanya ngono na mtu ambaye humuamini na yeye anakuambia kuwa ni afadhali uvae tu maana yeye ana maambukizi, ni bora ujikinge, utaendelea na tendo?

kikawaida mtu akishakuambia kua ana maambukz lzm mashine inywee
 
Back
Top Bottom