Stephano Mgendanyi
JF-Expert Member
- May 16, 2020
- 1,898
- 942
KOMREDI KAWAIDA APOKELEWA MKOANI KAGERA KWA ZIARA YA KIKAZI
Mwenyekiti wa UVCCM Taifa na Mjumbe wa kamati kuu ya CCM Taifa Mohammed Kawaida amewasili mkoani Kagera kuhitimisha Ziara maalumu ya vinaja wanaonufaika na mradi wa Jenga kesho Bora BBT unaosimamiwa na wizara ya kilimo.
Lengo la ziara hiyo ni kuangazia Maendeleo ya utekelezaji wa mradi ambapo kwasasa wanufaika wanaendelea kupata Mafunzo yaliyoanza Machi 21, Mwaka huu na kwa mkoa wa Kagera mradi huo unatekelezwa katika Chuo Cha utafiti Maruku kilichopo Halmashauri ya wilaya Bukoba.
Mwenyekiti wa UVCCM TAIFA Mohammed Kawaida akiwa mkoani Kagera ameambatana na Makamu Mwenyekiti wa UVCCM Rehema Sombi na Katibu Mkuu Kenani Kihongosi pamoja na wakuu wa idara za UVCCM
Attachments
-
WhatsApp Image 2023-05-09 at 14.20.21.jpeg56.6 KB · Views: 6
-
WhatsApp Image 2023-05-09 at 14.20.20.jpeg94.3 KB · Views: 5
-
WhatsApp Image 2023-05-09 at 14.20.22.jpeg93.4 KB · Views: 5
-
WhatsApp Image 2023-05-09 at 14.20.24.jpeg91 KB · Views: 7
-
WhatsApp Image 2023-05-09 at 15.01.42.jpeg88.1 KB · Views: 6
-
WhatsApp Image 2023-05-09 at 14.20.28.jpeg86.6 KB · Views: 6