Komla Dumor of BBC is no more

Komla Dumor of BBC is no more

R.I.P Komla
==================================
What happened to him?..was he Karegeyaed ?
 
Mbona mambo mengine unaweza usiamini!! Jeff Koinange akafukuzwa CNN, Vuyo Mbuli wa SABC akafa ghafla, na sasa huyu gwiji naye kafa ghafla.

Komla-Dumor.jpg
 
nimesikitika sana kutokana na kifo cha Komla Dumor, alikuwa ni mtu mwenye kipaji kikubwa cha utangazaji.
mwaka jana 2013 kuna magazine ilimtaja kuwa ni miongoni mwa waafrika 100 ambao ni influential. Mwenyezi Mungu ailaze roho yake
 
Komla nilimpenda mno akitangaza, yaani hakika was super. Hata BBC walionyesha Tribute yake ilikuwa super sana. Kweli tunatembea na kifo wakuu, tukae tayari muda wote hatujui siku wala saaa.
 
Back
Top Bottom