Komla Dumor of BBC is no more

Komla Dumor of BBC is no more

Masulupwete

JF-Expert Member
Joined
Feb 15, 2012
Posts
2,366
Reaction score
2,435
Nilikuwa namkubali sana huyu jamaa akipenfa kuvaa miwani mikubwa ya rangi nyeusi na suti maridadi.

Ametangulia tunafuata.
source: bbc news
 
true, too sad! we pray for his immediate family n those he worked with
 
DAh yani gafla tu Mtu anarest in peace,,jameni tusali sana,
 

Attachments

  • 1551481_10153074210272588_202167441_n.jpg
    1551481_10153074210272588_202167441_n.jpg
    17.1 KB · Views: 806
Jamani!!!to soon Komlar.Ni kitu gani kimepata??Anyone with full details please share!!
 
Huyu jamaa alikuwa vizuri sana hasa abapotangaza kiingereza nakumbuka mwakajana
Desemba ,Salim Kikeke alikuwa anatuonyesha
namna wanavyofanya kazi na studio zilivyo.

Pumzika pia ya Dunia umemaliza sasa !
 
Huyu jamaa alikuwa Jembe kwenye Focus in Africa..sijui nini kimemkuta
Pumzika kwa amani Dumor
 
amemuacha sofi ikenye peke yake dah so sad .r.i.p komrad mour
 
watu wa west afrika wamemloga,mnafikiri huwa wanaigiza muvi tu? muvi zina reflect jamii yao
 
Jamani the guy was so good na alikuwa anaipenda kazi yake. Sijui amekufa na nini at such a young age. Kumbe ni kijana wa 1972 tu?

RIP Komla.

Tiba
 
Dah!! duniani kweli tunapita. R I P . Maana kama namuona alivyokuwa anatangaza, kipindi cha westgate kuvamiwa alikuwa anatangaza tokea Nairobi.
 
Dahhh....Huwa sikosi kipindi cha Focus on Africa....Sofi Ikenye amebaki mwenyewe.....Poleni sana BBC
 
jana nimemsikiliza na kumuangalia katika focus on Africa....rip...
 
Back
Top Bottom