Bijou
JF-Expert Member
- Feb 25, 2011
- 1,219
- 335
Samahanini wana yanga lakini kwa muelekeo nyinyi ni walevi sana.
Mumekwangua vizibo vingi sana vya kinywaji, na ndiyo maana mukapata hizo fedha.
Mnashangilia bonanza kombe la kichina? Pateni makombe ya ukwe.. Kama Yanga afanyavyo