Kombe Limeenda Simba, Fedha Zimeenda Yanga?

Kiukweli mashabiki wetu ushindi hatuna haja ya pesa,Pesa zinatusaidia ni sisi au wanachama tunagaiwa?

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Bingwa anapata 100m (ukijumlisha na ile 1m ya ushindi ) kwaio in short tofauti ni one million kati ya yanga na simba kwa mechi ya jana..
 
kufungwa jana yanga ilikuwa nikumsaidia rage iliaweze kusolve mambo yake vizuri ndani ya simba hizi ni habar za ndani kabisa na sasa simba amani inapaitikana ingawa maburula mengi wa simba wanajua yameshinda, yanga hoyeeee
 
Bila shaka Rage kapata upenyo na anapumua sasa. Bigup wachezaji wa simba kwa kuwa stable ki psychology ukilinganisha na upande wa pili waliokuwa favoured na mazingira imara ya uongozi
 
Bingwa anapata 100m (ukijumlisha na ile 1m ya ushindi ) kwaio in short tofauti ni one million kati ya yanga na simba kwa mechi ya jana..

Makanjanja!!!!!

ImageUploadedByJamiiForums1387706792.153450.jpg
 
Breaking Newz!!! Kampuni ya BIA nchini TBL inapenda kuishukuru Timu fulani (jina tunalo) kwa kuweza kununua bia 94,000,000 million tisini na nne na ushee hivi!! Kampuni inaishukuru saaana hiyo timu! Kwani tangu imeanza kuuza bia haijawahi kupata faida kubwa kama hii ndan ya mwezi mmoja! Kwa takwimu za harakaharaka kampuni imepata Tsh 188,000,000,000 (wastani billion 2). Kampuni inaahidi itaendelea kuzidhamini timu zote mbili! Yaani wale ambao wachamungu pamoja na wale walevi ingwa hawajuwi mpira! Kwani hata maandiko yanasema! Yaache Magugu yaote na ngano!!! Bwana alitoa! Na Bwana ametwaa! Jina la................... Imenukuliwa kutoka kwa Meneja Masoko TBL (Bwana Kavishe)
 
Breaking Newz!!! Kampuni ya BIA nchini TBL inapenda kuishukuru Timu fulani (jina tunalo) kwa kuweza kununua bia 94,000,000 million tisini na nne na ushee hivi!! Kampuni inaishukuru s.......)

Mwanzo wa Shindano YANGA waliwekewa TZS 50,000,000 na SIMBA nao waliwekewa TZS 50,000,000. Kila ukituma herufi zilizokuwepo kwenye kuzibo, timu yako inainyang'anya mpinzani wake TZS 1,000. Kwa hesabu ya haraka ambapo YANGA walipata TZS 98,938,400 na SIMBA TZS 1,061,600, inamaana YANGA alimnyang'anya SIMBA TZS 48,938,400, ukichukua hiyo TZS 48,938,400 ukigawanya kwa TZS 1,000 inabakia kama 48,938, inamaana mashabiki wa YANGA walikunywa bia za Kilimanjaro zaidi ya bia 50,000. Tatizo linakuja kwenye hizo Shilingi 400 za Yanga na 600 za Simba zinatoka wapi, labda TBL wanaweza wakatusaidia kwenye hayo mahesabu ya TZS 400 na 600.

ImageUploadedByJamiiForums1387713263.044749.jpg
 
Mpira wa Yanga wanachezea BAAA na kuokota vizibo vya Kilimanjaro mtaani, Simba gemu Uwanjani! halafu wanjisifu kuwa Mtaani ni jembe (Jembe baa! du!!)
 
Sure kama wanawake. Ndo maana mahari wanapewa wazazi wa mtoto wa kike. Mwanaume anasifiwa kwa kupiga bao, mwanamke anajisifu kwa kuchuna.

Nyie ujanja wenu bonanza tu, mbona makombe ya ukwe.. Hambebagi mara nyingi?
 
Back
Top Bottom