Mstahiki Mea
JF-Expert Member
- Jul 13, 2018
- 5,581
- 10,110
Pamoja na kuwa mtu hazuiliwi kuongea chochote kuna watu washaanza mdomo et tanzania itafuzu kumbe la dunia kwa kushika nafasi ya pili. Ukweli nikwamba timu itakayoongoza kila kundi ndiyo utakayofuzu kombe la dunia. Baada ya hapo Fifa ilitoa nafasi mbili kushindaniwa na mabara yote. Ambapo africa tuna chance yakupata hiyo nafasi moja. Tufikishe timu 10.
#Hiyo nafasi moja Tanzania ningumu kuipata
Kwanza inatakiwa kuwa best looser katika makundi yote tisa na kushika nafasi ya nne katika timu zenye pwenti nyingi . Baada ya hapo itafanyika michezo ya numbani na ugenini atakayeongoza kwenye hilo kundi , mmoja ataingia kwenye playof nyingine ya dunia ambapo kila bara litatoa timu moja na bara lingine litapeleka timu mbili. ,, itafanyika michezo ya nyumbani na ugenini atakayeongoza wakwanza na wapili ndio watakaofuzu kombe la dunia.
Kiufupi kama hutaweza kuongoza kundi huku africa hakuna namna unaweza kufuzu kwa kuongoza kundi lenye timu za mabara mengine
#Hiyo nafasi moja Tanzania ningumu kuipata
Kwanza inatakiwa kuwa best looser katika makundi yote tisa na kushika nafasi ya nne katika timu zenye pwenti nyingi . Baada ya hapo itafanyika michezo ya numbani na ugenini atakayeongoza kwenye hilo kundi , mmoja ataingia kwenye playof nyingine ya dunia ambapo kila bara litatoa timu moja na bara lingine litapeleka timu mbili. ,, itafanyika michezo ya nyumbani na ugenini atakayeongoza wakwanza na wapili ndio watakaofuzu kombe la dunia.
Kiufupi kama hutaweza kuongoza kundi huku africa hakuna namna unaweza kufuzu kwa kuongoza kundi lenye timu za mabara mengine