Wagombea wawili Kati ya wagombea 9 wameibuka Vinara Katika Mkutano Mkuu Maalum wa Umoja wa Wanawake wa Tanzania (UWT) Mkoa wa Morogoro Uliolenga kuwapata wawakilishi wanawake kutoka mkoani humo watakaoshiriki katika hatua ya kitaifa kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM)
Katika zoezi hilo lililosimamiwa na Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Adam Malima amesema jumla ya kura 1653 zimepigwa na wajumbe ambapo Lucy Kombani ameibuka mshindi kwa kuongoza kwa kura 1314 huku mshindi wa pili Sheila Lukuba akiwa na kura 597
Uteuzi huu wa awali ni sehemu muhimu ya maandalizi ya kuwapata wabunge wanawake wa viti maalum kupitia CCM
Chanzo: Jambo TV
Katika zoezi hilo lililosimamiwa na Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Adam Malima amesema jumla ya kura 1653 zimepigwa na wajumbe ambapo Lucy Kombani ameibuka mshindi kwa kuongoza kwa kura 1314 huku mshindi wa pili Sheila Lukuba akiwa na kura 597
Uteuzi huu wa awali ni sehemu muhimu ya maandalizi ya kuwapata wabunge wanawake wa viti maalum kupitia CCM
Chanzo: Jambo TV