zubedayo_mchuzi
JF-Expert Member
- Sep 2, 2011
- 4,873
- 1,216
Ameunganisha viti vya plastic viwili du! angeendelea na kile kitoto mbona angekiua kabisa
Viti double double c mchezo...karibu sana mkuu ...umetoka Moi/milembe ya India..
Ameunganisha viti vya plastic viwili du! angeendelea na kile kitoto mbona angekiua kabisa
naona kitambi kimeongezeka, ili alienda kwa matibabu ??? ngoja nkachek web ya bunge utakuta amerudi na Phd toka india ha ha ha ha ha, maana hawa magamba ni wasengerema sana..
kheee huyo pembeni yake nani?hahaaaa au ndo my wife wake....omba kumbe hujui kuchagua bana..mbwembwe za bure tu aaaghh
Apunguze uzito kwa kuacha uroho wa kula kitimoto!
Nimechukia huyu jamaa kurudi mzima ! Tunataka jimbo
Nimechukia huyu jamaa kurudi mzima ! Tunataka jimbo
Cheupe dawa.kheee huyo pembeni yake nani?hahaaaa au ndo my wife wake....omba kumbe hujui kuchagua bana..mbwembwe za bure tu aaaghh
Mastaz ya Music production and Ambiguous
kale katoto kazi yake kubwa ilikuwa ni kumfanyia BJ...