Komaa concert Live-TV-E

Naona Harmonize kapiga show la kufa mtu na nimeona mbadiliko makubwa kwenye show yake....
 
Kwanini mnaamini kuwa mtu hawezi kufanya vizuri bila kumpindua mwenzake?
 
HAHAHAHA kuna watu wameshinda million 10 wanapigiwa namba ziko busy......
 
Huu ni utapeli, kila namba wanapiga inatumika??Huu ni utapeli waz waz

.....Free ideas.....
 
Huu ni utapeli, kila namba wanapiga inatumika??Huu ni utapeli waz waz

.....Free ideas.....
Kwani haiwezi tokea? kuna nini cha kushangaza namba kutumika tena hapo uwanjani?
 
Mbona watu wamejaa sana ni bure au?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…