Chimunguru
JF-Expert Member
- May 3, 2009
- 10,678
- 4,378
Baba yao ni La Okanga la Ndju pene Lwambo Lwanzo Makiadi Franco. Wakifuatiwa na wale jamaa wa Kavasha akiina Nzaya Nzayadio, halafu ndio hii generation ya akina wenge na wenzie
Kanga foto......Ekoti te', ekoti te'
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂jf bhnYawezekana hukumwelewa ama umemwelewa kupita yeye alivyomaanisha
Unaweza kudhani upo sahihi kwasababu tu huna taarifa sahihiHahaaa koffi olomide mzuri kwenye video na upangiliaji wa video na mavazi. Ila kwa congo anauza cd tu . Hawezi kusimama na jb mpiana bin adam mukulu. Tafuteni live show ya dance kinkole au valentine au live show za werasoni ngiama makanda. Show zote kubWa za live zinazoendeshwa hapo congo wanapewa hawa jamaa. Koffi kabaki muuza sura tu
Hahaaa koffi olomide mzuri kwenye video na upangiliaji wa video na mavazi. Ila kwa congo anauza cd tu . Hawezi kusimama na jb mpiana bin adam mukulu. Tafuteni live show ya dance kinkole au valentine au live show za werasoni ngiama makanda. Show zote kubWa za live zinazoendeshwa hapo congo wanapewa hawa jamaa. Koffi kabaki muuza sura tu
Ferre Gola amepiga na Werrason nyimbo zote zikawa Kama ni za werrason na hata hivyo Ferre hakuweza kutambulika wala kujulikana mwenye sauti yenye Kuvutia hiyo ni baada ya kutoa CD ambazo alikuwa akihitaji Promo aweze kutambulika yeye na Fally Koffi akawapa fursa hiyowee GENTAMYCINE tangu lini mwanafunzi akamzidi mwalimu wake kimaarifa?.
hao wote uliowataja hapo kwenye post yako,wacheza show wao,marapa,waimbaji na wapiga vyombo karibia wote wamepitia kwa koffi.
huyo ferre na fally ni wanafunzi wa koffi japo ferre kafundishwa na walimu wawili(koffi na werrason)