Kodokushi: Hatima iliyojaa upweke

Kodokushi: Hatima iliyojaa upweke

Nilikua nakunywa sana pombe kali mpaka sukali ikawa inashuka. Hiyo siku niliishiwa nguvu hata za kusimama tu. niliweza kupiga simu mtu akatoka sinza mpaka mbagala ndo wakaja kuvuja mlango. nilikua nakufa kweli..
Duh pole Sana mkuu, inanikumbusha Kuna jamaa ,, alilewa akajifungia ndani na music inapiga amekufa wameshtuka mda ushapita siku zaidi ya Tatu kama sikosei Maana alibaki yeye tu hapo ndani na mdogo wake wa kike dah huzuni Sana.
 
Duh pole Sana mkuu, inanikumbusha Kuna jamaa ,, alilewa akajifungia ndani na music inapiga amekufa wameshtuka mda ushapita siku zaidi ya Tatu kama sikosei Maana alibaki yeye tu hapo ndani na mdogo wake wa kike dah huzuni Sana.
Kuna mazingira inatakiwa tuthamini maisha.. Huwezi amini tangu siku hiyo nnakunywa kwa password kichizi. Na kuacha mazingira siwezi
 
Nilikua nakunywa sana pombe kali mpaka sukali ikawa inashuka. Hiyo siku niliishiwa nguvu hata za kusimama tu. niliweza kupiga simu mtu akatoka sinza mpaka mbagala ndo wakaja kuvuja mlango. nilikua nakufa kweli..
🥺🥺🥺🥺 seriously!?
 
Kuna mazingira inatakiwa tuthamini maisha.. Huwezi amini tangu siku hiyo nnakunywa kwa password kichizi. Na kuacha mazingira siwezi
Pombe ina kanuni tatu
1. Wewe ni nani
2. Uko wapi
3. Unafanya nini
Ukiona unaanza kuchanganya mafaili kwenye hizo kanuni tatu ondoka haraka kwenye eneo
 
Kuna mazingira inatakiwa tuthamini maisha.. Huwezi amini tangu siku hiyo nnakunywa kwa password kichizi. Na kuacha mazingira siwezi
Pombe ina kanuni tatu
1. Wewe ni nani
2. Uko wapi
3. Unafanya nini
Ukiona unaanza kuchanganya mafaili kwenye hizo kanuni tatu ondoka haraka kwenye eneo
 
Back
Top Bottom