Kodi ya SimCard sasa kuanza mara moja!

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
52,210
Reaction score
162,787
Mamlaka ya mapato nchini(TRA) imeandika waraka kwenda kwa makampuni ya simu nchini kuagiza kuanza utekelezaji wa kukata kodi ya laini ya simu.Kodi hiyo ni kuanzia July 30 mpaka september mwaka huu.Hii ina maana kwamba kila mtumiaji atakatwa sh 3000 ikiwa ni kodi ya mwezi July,August na September.Kwa maana hiyo mwenye laini mbili atakatwa sh 6000 na mwenye laini tatu atakatwa sh 9000.

Na katika hatua nyingine wateja milioni 8 simu zao kufungwa.

Kwa taarifa zaidi soma gazeti la Tanzania Daima

CHANZO:TANZANIA DAIMA ONLINE

MY TAKE:
Hii inaweza kuwa ni mbinu ya kuhamisha "attention" ya watu kutoka kwenye issue ya katiba na kutupeleka kwenye issue ya tozo za line za simu!

Tafakari na kisha chukua hatua!



 

Attachments

  • TRA 1..jpg
    146.7 KB · Views: 1,395
  • TRA 2..jpg
    164.6 KB · Views: 1,385
kwa line zaidi ya m20 ni wazi CCM watakuwa wakichukua 2bn kila siku..finally kila mwizi watakuwa na 60bn...za kutosha kabisa kuwaaambia watanzania hawana dhambi kwa vile uovu wa CCM 2015 utakuwa financed na watanzania wote wenye line za simu...
 

Nimehangaika kusoma thread kumbe source ni jarida la udaku wa kisiasa?
Anyway najisikia fahari kuchangia pato la nchi kwa maendeleo ya nchi yangu
Naomba kukatwa kuanzia mwezi wa kwanza mwaka huu.
Nawasilisha.
 
Nimehangaika kusoma thread kumbe source ni jarida la udaku wa kisiasa?
Anyway najisikia fahari kuchangia pato la nchi kwa maendeleo ya nchi yangu
Naomba kukatwa kuanzia mwezi wa kwanza mwaka huu.
Nawasilisha.
Unajitolea kukatwa na wakati ushasema habari ni ya uongo kutoka jarida la udaku?Duh!

Unakataa na kukubali hapo hapo.:wink1::wink1:
 
Nimehangaika kusoma thread kumbe source ni jarida la udaku wa kisiasa?
Anyway najisikia fahari kuchangia pato la nchi kwa maendeleo ya nchi yangu
Naomba kukatwa kuanzia mwezi wa kwanza mwaka huu.
Nawasilisha.

Umezoea kukatwa eeeh?
 
CCM wamesha tuona sisi ni bendera fuata upepo.
Wanatuendesha kwa remote control a.k.a kitendambali
 
Nimehangaika kusoma thread kumbe source ni jarida la udaku wa kisiasa?
Anyway najisikia fahari kuchangia pato la nchi kwa maendeleo ya nchi yangu
Naomba kukatwa kuanzia mwezi wa kwanza mwaka huu.
Nawasilisha.
...sijawahi kuona mwanamke mnafki kama wewe...? ungekuwa karibu ningekunasa kibao..
 
Nimehangaika kusoma thread kumbe source ni jarida la udaku wa kisiasa?
Anyway najisikia fahari kuchangia pato la nchi kwa maendeleo ya nchi yangu
Naomba kukatwa kuanzia mwezi wa kwanza mwaka huu.
Nawasilisha.

unataka kukatwa, inaonekana unapenda sana kukatwa na huwa unasikia raha.
 
Mbona mnalipa kodi nyingine nyingi.

Badala ya kulalamikia PAYE ishuke mnalalamikia tozo la simu.

Hongera serikali kwa kutokukubali kuyumbishwa na wanasiasa.
 
...sijawahi kuona mwanamke mnafki kama wewe...? ungekuwa karibu ningekunasa kibao..

we binti unayetangatanga si wote wana hela kama wewe mfano vijijini hata mijini watu wanaishi kwa kubahatisha hivyo unavyotoa maoni usijiangalie wewe au maslai ya chama chako ukizani unakomesha hoja za wapizani
 
Wanataka
MTU MMOJA >> SIM CARD MOJA

Hawajui mtu kuwa na sim card tofauti ni katika kupunguza gharama! Basi washushe pia viwango vya mawasiliano vifanane mitandao yote.
 
NGOJA TUTENGENEZE APPLICATION ZA FREE CALLING..... HATUWEKI VOCHA SISI NA PDproxy
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…