Tella Mande
JF-Expert Member
- Jun 2, 2018
- 494
- 674
Katika hotuba nimesikia kuanzishwa kwa kodi ya malori. Nijuavyo mimi wenye malori wanalipa kodi kama wamiliki maana ukaguzi wa risiti za usafirishaji unafanyika mbele ya macho yetu. Sasa hii kodi ni kwa kila lori bila kujali kazi au ni kima cha chini cha kodi bila kujali biashara?
Wenye kulijua mtujuze...
Wenye kulijua mtujuze...