Leo siku ya tatu hapa JF malalamiko kibao na ya kila aina, WADAU kulikoni?
Au Tozo zimezua jambo!
Wadau nadhani upande wa Tigo mambo hajawakalia sawa na hawakati kodi ya jengo, so chagamkieni huko. Nimenunua umeme bila kukatwa chochote sasa hivi!View attachment 1901840