kama uajua nambie kwa kukadiria. TRA nako majangaNenda tra pale wakakukadilie
Mkuu tumia calculator ya tra iko kwenye web yao www.tra.go.tz then upande wa kulia chini chagua tools na chagua calculator chagua brand ya gari, chagua model, chagua mwaka, chagua cc, chagua mafta inayotumia, chagua nchi unapoinunua then calculate itakupa makadirio so easykama uajua nambie kwa kukadiria. TRA nako majanga
Thread closed
Sio closed mkuu. Hapa pana mjadala kidogo. Be forward wanaauza gari dola 2200 pamoja na usafiri lakini TRA wanakwambia gari hii thamani yake ni 3886 USD. Something is not right here. Tra bei zao wanatoa wapi na kwa vigezo vipiThread closed
asante sana rafiki.Mkuu tumia calculator ya tra iko kwenye web yao www.tra.go.tz then upande wa kulia chini chagua tools na chagua calculator chagua brand ya gari, chagua model, chagua mwaka, chagua cc, chagua mafta inayotumia, chagua nchi unapoinunua then calculate itakupa makadirio so easy
nafikiri tra hawavaagi boxer ndo maanaSio closed mkuu. Hapa pana mjadala kidogo. Be forward wanaauza gari dola 2200 pamoja na usafiri lakini TRA wanakwambia gari hii thamani yake ni 3886 USD. Something is not right here. Tra bei zao wanatoa wapi na kwa vigezo vipi
Thanks a lot! kodi ni 100% ya bei ya kununulia! Means ukiweka na bei ya kununua inakuwa 17 milioni. asante
Una hoja ya msingi sana.Sio closed mkuu. Hapa pana mjadala kidogo. Be forward wanaauza gari dola 2200 pamoja na usafiri lakini TRA wanakwambia gari hii thamani yake ni 3886 USD. Something is not right here. Tra bei zao wanatoa wapi na kwa vigezo vipi
Mkuuu pokea tuuuSio closed mkuu. Hapa pana mjadala kidogo. Be forward wanaauza gari dola 2200 pamoja na usafiri lakini TRA wanakwambia gari hii thamani yake ni 3886 USD. Something is not right here. Tra bei zao wanatoa wapi na kwa vigezo vipi
Thread closed mzee la sivyo utaacha gari pale watu walipige mnada!Sio closed mkuu. Hapa pana mjadala kidogo. Be forward wanaauza gari dola 2200 pamoja na usafiri lakini TRA wanakwambia gari hii thamani yake ni 3886 USD. Something is not right here. Tra bei zao wanatoa wapi na kwa vigezo vipi
Silent, inakuwaje magari ya Beforward yana bei ya chin lakini angalia website hii Magari ya mazda ni ghali ingawa make ni hiyo hiyo na year.... see this lik
Soko huria kila mtu ruksa kupanga bei yake unataka kuweko tume ya bei au?Silent, inakuwaje magari ya Beforward yana bei ya chin lakini angalia website hii Magari ya mazda ni ghali ingawa make ni hiyo hiyo na year.... see this lik
http://www.goo-net-exchange.com/php/search/summary.php
![]()
MAZDA
PROCEED CAB PLUS
04.1997
WHITE
2.6L
Right MT
Fukuoka
Japan 798,000 yen= 7,200 USD
Jibu la ki Gamba utalijua tuSoko huria kila mtu ruksa kupanga bei yake unataka kuweko tume ya bei au?
Simple answer ni kua Be forward ana stock kubwa zaidi, so hata akijiwekea margin ndogo still anapata wateja.Silent, inakuwaje magari ya Beforward yana bei ya chin lakini angalia website hii Magari ya mazda ni ghali ingawa make ni hiyo hiyo na year.... see this lik
http://www.goo-net-exchange.com/php/search/summary.php
![]()
MAZDA
PROCEED CAB PLUS
04.1997
WHITE
2.6L
Right MT
Fukuoka
Japan 798,000 yen= 7,200 USD
asante kwa majibu yenye mantiki; maana gari zote ni used , mwaka ule ule wa manufacture lkn hawa Goonet bei zao ni kubwa comapred to other companies.... . nimecheki nyingi for comparisonSimple answer ni kua Be forward ana stock kubwa zaidi, so hata akijiwekea margin ndogo still anapata wateja.
Pili ni targeted customer.
Na tatu yaweza kua quality ya gari zao pia. Gari zaweza zote ku pass kwenye inspections but with diff. qualities
Exactly, unaona mtu anatoa jibu la kipuuzi, unreasoned one.....Jibu la ki Gamba utalijua tu