Kodi ni lazima ikusanywe, hakuna nchi yenye nafuu ya Kodi

Countrywide

JF-Expert Member
Mar 2, 2015
18,190
27,237
Nimeona wengi wakipiga miluzi kuhusu Kodi zilizoongezwa hasa kwenye Luku, miamala ya simu, kadi za simu na kwenye mafuta (petrol na diesel).

Ilikuwa bado kidogo tu na Mimi niingie mtego wa makamanda kwenye kulalamika.

Kwanza kwanza kabisa yapaswa ieleweke kuwa hakuna nchi duniani inaweza kuendeshwa bila Kodi.

Kwenye kupata kodi serikali huwa hawacheki na kima, ni lazima Kodi ilipwe hakuna janjajanja.

Ni kweli bajeti mpya imeongezwa Kodi kwenye petrol, na miamala. Swali la kujiuliza ilibidi kodi iongezwe wapi ambapo watu hawatalalamika?

Mnataka nchi iende Ila hamtaki kulipa Kodi, itaendaje? Kwa kufanya siasa na hivyo vikao vyenu mnavyofanya kila siku? Hili swali nimelilenga maalum kwa makamanda, hasahasa wale makamanda uchwara.

Mama Samia kwa kadri itavyokupendeza ongeza Kodi kwenye vitu ambavyo vitasababisha wengi watalipa kama ulivyofanya sasa kwenye miamala na petrol.

Wabongo ni walalamishi by nature, wala usisikilize ziba kabisa masikio maana watakupotezea focus alafu baadae ndio wa kwanza kukutukana.

Hawa makamanda wanaolialia humu wanapenda sana dezo na burebure na ndio maana unaona hata baadhi ya viongozi wao wa juu wapo ulaya wao na familia zao wanaishi kula na kulala bure kwa jasho la wananchi wa hizo nchi.

Hizo nchi ambazo wanaishi kwa kula na kulala bure Kuna kodi nyingi na ngumu kuliko hata huku kwetu. MSIPENDE VYA BUREBURE
Ili nchi iendelee lazima tufunge mkanda, hakuna kurudi misri ni lazima tufike nchi ya ahadi.

Miradi yote mikubwa iliyopo ni lazima iishe na ianzishwe mingine kwa Maendeleo ya taifa.

KAZI IENDELEE
 
Nimeona wengi wakipiga miluzi kuhusu Kodi zilizoongezwa hasa kwenye Luku, miamala ya simu, kadi za simu na kwenye mafuta (petrol na diesel).
Ilikuwa bado kidogo tu na Mimi niingie mtego wa makamanda kwenye kulalamika.
Kwanza kwanza kabisa yapaswa ieleweke kuwa hakuna nchi duniani inaweza kuendeshwa bila Kodi.
Kwenye kupata kodi serikali huwa hawacheki na kima, ni lazima Kodi ilipwe hakuna janjajanja.
Ni kweli bajeti mpya imeongezwa Kodi kwenye petrol, na miamala. Swali la kujiuliza ilibidi kodi iongezwe wapi ambapo watu hawatalalamika?
Mnataka nchi iende Ila hamtaki kulipa Kodi, itaendaje? Kwa kufanya siasa na hivyo vikao vyenu mnavyofanya kila siku? Hili swali nimelilenga maalum kwa makamanda, hasahasa wale makamanda uchwara.
Mama Samia kwa kadri itavyokupendeza ongeza Kodi kwenye vitu ambavyo vitasababisha wengi watalipa kama ulivyofanya sasa kwenye miamala na petrol.
Wabongo ni walalamishi by nature, wala usisikilize ziba kabisa masikio maana watakupotezea focus alafu baadae ndio wa kwanza kukutukana.
Hawa makamanda wanaolialia humu wanapenda sana dezo na burebure na ndio maana unaona hata baadhi ya viongozi wao wa juu wapo ulaya wao na familia zao wanaishi kula na kulala bure kwa jasho la wananchi wa hizo nchi.
Hizo nchi ambazo wanaishi kwa kula na kulala bure Kuna kodi nyingi na ngumu kuliko hata huku kwetu. MSIPENDE VYA BUREBURE
Ili nchi iendelee lazima tufunge mkanda, hakuna kurudi misri ni lazima tufike nchi ya ahadi.
Miradi yote mikubwa iliyopo ni lazima iishe na ianzishwe mingine kwa Maendeleo ya taifa.
KAZI IENDELEE............
Huwa sometimes ni vema kufikiri a kabla ya kuzungumza. What exactly do you mean? Maana hujatoa hoja bali ume attack, chill punguza mawazo we MATAGA sijui KAMANDA kaza mkanda ishi maisha yako siasa waachie wanasiasa LIPA KODI period. Kifo cha wengi ni sherehe na ww sio exceptional
 
Nimeona wengi wakipiga miluzi kuhusu Kodi zilizoongezwa hasa kwenye Luku, miamala ya simu, kadi za simu na kwenye mafuta (petrol na diesel).

Ilikuwa bado kidogo tu na Mimi niingie mtego wa makamanda kwenye kulalamika.

Kwanza kwanza kabisa yapaswa ieleweke kuwa hakuna nchi duniani inaweza kuendeshwa bila Kodi.

Kwenye kupata kodi serikali huwa hawacheki na kima, ni lazima Kodi ilipwe hakuna janjajanja.

Ni kweli bajeti mpya imeongezwa Kodi kwenye petrol, na miamala. Swali la kujiuliza ilibidi kodi iongezwe wapi ambapo watu hawatalalamika?

Mnataka nchi iende Ila hamtaki kulipa Kodi, itaendaje? Kwa kufanya siasa na hivyo vikao vyenu mnavyofanya kila siku? Hili swali nimelilenga maalum kwa makamanda, hasahasa wale makamanda uchwara.

Mama Samia kwa kadri itavyokupendeza ongeza Kodi kwenye vitu ambavyo vitasababisha wengi watalipa kama ulivyofanya sasa kwenye miamala na petrol.

Wabongo ni walalamishi by nature, wala usisikilize ziba kabisa masikio maana watakupotezea focus alafu baadae ndio wa kwanza kukutukana.

Hawa makamanda wanaolialia humu wanapenda sana dezo na burebure na ndio maana unaona hata baadhi ya viongozi wao wa juu wapo ulaya wao na familia zao wanaishi kula na kulala bure kwa jasho la wananchi wa hizo nchi.

Hizo nchi ambazo wanaishi kwa kula na kulala bure Kuna kodi nyingi na ngumu kuliko hata huku kwetu. MSIPENDE VYA BUREBURE
Ili nchi iendelee lazima tufunge mkanda, hakuna kurudi misri ni lazima tufike nchi ya ahadi.

Miradi yote mikubwa iliyopo ni lazima iishe na ianzishwe mingine kwa Maendeleo ya taifa.

KAZI IENDELEE
Kwani ni mwaka gani ambapo kume kuwa na unafuu wa kodi kwa mlala hoi?toka nakuwa vitu vinavyoongezewa kodi ni hivyo hivyo tu, nasijaona kipya!!kukusanya kodi na kuzitumia ni vitu viwili tofauti na ndio maana nchi za kiafrika watu kulipa kodi wanaona ni kama adhabu tu kwani hawaoni matumizi yake, tofauti na wazungu.Kama ni uzalendo hao wabunge mbona posho zao hazi katwi kodi?yaani huyu mnyonge ndio kila siku anazidi kubebeshwa mzigo tu.toka 2016, tulikuwa tukiaminishwa kuwa bajeti za wanyonge!!!
 
Huwa sometimes ni vema kufikiri a kabla ya kuzungumza. What exactly do you mean? Maana hujatoa hoja bali ume attack, chill punguza mawazo we MATAGA sijui KAMANDA kaza mkanda ishi maisha yako siasa waachie wanasiasa LIPA KODI period. Kifo cha wengi ni sherehe na ww sio exceptional
Ndio maana ulifeli form four, soma tena nilichoandika
 
Zimeendelea kwa kodi nafuu na sio kodi komozi.Ni heri kodi kidogo ukusanye zaidi kuliko kodi kubwa unakusanya kidogo.
 
Kwani ni mwaka gani ambapo kume kuwa na unafuu wa kodi kwa mlala hoi?toka nakuwa vitu vinavyoongezewa kodi ni hivyo hivyo tu, nasijaona kipya!!kukusanya kodi na kuzitumia ni vitu viwili tofauti na ndio maana nchi za kiafrika watu kulipa kodi wanaona ni kama adhabu tu kwani hawaoni matumizi yake, tofauti na wazungu.Kama ni uzalendo hao wabunge mbona posho zao hazi katwi kodi?yaani huyu mnyonge ndio kila siku anazidi kubebeshwa mzigo tu.toka 2016, tulikuwa tukiaminishwa kuwa bajeti za wanyonge!!!
Ndio maana ulifeli form 4, Soma kwa makini kisha ndio ujibu
 
Nimeona wengi wakipiga miluzi kuhusu Kodi zilizoongezwa hasa kwenye Luku, miamala ya simu, kadi za simu na kwenye mafuta (petrol na diesel).

Ilikuwa bado kidogo tu na Mimi niingie mtego wa makamanda kwenye kulalamika.

Kwanza kwanza kabisa yapaswa ieleweke kuwa hakuna nchi duniani inaweza kuendeshwa bila Kodi.

Kwenye kupata kodi serikali huwa hawacheki na kima, ni lazima Kodi ilipwe hakuna janjajanja.

Ni kweli bajeti mpya imeongezwa Kodi kwenye petrol, na miamala. Swali la kujiuliza ilibidi kodi iongezwe wapi ambapo watu hawatalalamika?

Mnataka nchi iende Ila hamtaki kulipa Kodi, itaendaje? Kwa kufanya siasa na hivyo vikao vyenu mnavyofanya kila siku? Hili swali nimelilenga maalum kwa makamanda, hasahasa wale makamanda uchwara.

Mama Samia kwa kadri itavyokupendeza ongeza Kodi kwenye vitu ambavyo vitasababisha wengi watalipa kama ulivyofanya sasa kwenye miamala na petrol.

Wabongo ni walalamishi by nature, wala usisikilize ziba kabisa masikio maana watakupotezea focus alafu baadae ndio wa kwanza kukutukana.

Hawa makamanda wanaolialia humu wanapenda sana dezo na burebure na ndio maana unaona hata baadhi ya viongozi wao wa juu wapo ulaya wao na familia zao wanaishi kula na kulala bure kwa jasho la wananchi wa hizo nchi.

Hizo nchi ambazo wanaishi kwa kula na kulala bure Kuna kodi nyingi na ngumu kuliko hata huku kwetu. MSIPENDE VYA BUREBURE
Ili nchi iendelee lazima tufunge mkanda, hakuna kurudi misri ni lazima tufike nchi ya ahadi.

Miradi yote mikubwa iliyopo ni lazima iishe na ianzishwe mingine kwa Maendeleo ya taifa.

KAZI IENDELEE
Hujui unacho ongea nadhani umepata ufahamu wa kinacho endelea kwenye budget ya Tz miaka ya karibuni. Ila siku laumu kwa uzi wako maana ni wazo lako na kama ndo mwisho wako wa kufikiri well n good keep up with unfactual thoughts
 
Zimeendelea kwa kodi nafuu na sio kodi komozi.Ni heri kodi kidogo ukusanye zaidi kuliko kodi kubwa unakusanya kidogo.
Still bado hawajawa creative bado vyanzo ni vile vile except iyo ya LUKU na kadi za simu ambayo hii itakuwa kandamizi hasa kwa yule bibi na babu kijijini anaesaidiwa na wanae kupata hata kile kidogo. Ila kuna watu wanaropoka kama vile midomo yao ni cloaca
 
Wangeongeza kodi kwenye betting maana ile kamari sio kitu cha lazima kwa binadamu sasa wao wamepunguza
 
Kama Yesu mwenyewe hakumuingilia Kaisari ktk ukusanyaji wake wa Kodi pia Mungu mwenyewe anataka 10% ya kila unachokipata nitashangaa sana Serikali ya Samia ikiacha kukusanya kodi na kuifanya ni swala la maamuzi ya mlipa kodi au makubaliano soon litakuwa taifa la Omba Omba mikopo kwa mabeberu
 
Sisitiza pia na matumizi sahihi ya kodi yanayolenga vipaumbele vya wananchi, ninyi watu wa mlengo wa kimataga mataga kazi yenu ni kupiga chapuo watu walipe kodi ila kushauri kodi itumike vizuri mnapata kigugumizi.

Binafsi napenda kulipa kodi na nasikia fahari, nimeanza kulipa direct tax since i was 20 ukiacha indirect tax ambayo kila mtu hulipa.
 
Back
Top Bottom