Kocha Stars kesha anza visingizio

Kocha Stars kesha anza visingizio

pilau

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2012
Posts
1,595
Reaction score
450
Pamoja na watanzania walio wengi kuwa katika kuiombea dua Taifa Stars kocha mkuu wa timu hiyo Poulsein ameshaanza kuleta visingizio kabla hata ya mechi kuchezwa... kikubwa anasingizia wachezaji asilimia 60% wanafunga Ramadhan katika mwezi huu mtukufu na anadai kwamba wachezaji wanakuwa hawana nguvu... Binafsi sijakata tamaa japo kocha anajaribu kujiweka katika mazingira ya visingizio... All the Best Tanzania
 
hivi huo mfungo upo tanzania tu? kwan wachezaj wa uganda kwao mwez huu sio mtukufu.

ukishabikia mpira wa tz lazima upate presha na uwe disappointed sana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom