Kocha Simba amefunikwa na vivuli vya waamuzi

kavulata

JF-Expert Member
Aug 2, 2012
12,307
12,602
Kiukweli timu ya Simba inashinda mechi zake kwa mbinde ikionekana kupata matokeo kwa bahati na sibu tu, pengine kwa kusaidiwa na udhaifu wa waamuzi na mipango ya nje ya uwanja.

Kama TFF na Serikali wakisawazisha suala la waamuzi nchini huenda tukashuhudia Simba ikipata matokeo hasi chini ya kocha huyu wa sasa.

Simba mtaendelea kuwategemea waamuzi hadi lini? maana mchezo wa mpira ni mchezo wa wazi unaochezwa kwenye mwanga wa kutoka kila mtu kuona kinachoendelea uwanjani. Tunamtia aibu muwekezaji wetu, hadi kulazimika kutishia kujiuzulu ili kusaidia timu ikazane.
 
Simba ina kosa gani hapo sasa ,kwani maamuzi wanayafanya wao au marefa wasiojua namna ya kutafsiri Sheria??

Wekeni marefa wenye uwezo tuone kama kelele zitaendelea kuwepo
 
Mo Mjanja sana usidhani yeye ni mwehu kulipa mishahara wachezaji na kuhonga waamuzi.
 
Ndala fc kwa kijisahaulisha kipindi cha malinzi walikua wananunua mpaka warusha mipira
 
Mo Mjanja sana usidhani yeye ni mwehu kulipa mishahara wachezaji na kuhonga waamuzi.
Kuepusha boss asijekujiuzulu tena timu lazima ishinde kila mechi. Kwa mtu mwenye hela anaeogopa kufungwa unajuwa atafanya nini ili aepuke aibu ya kufungwa? Mwamuzi mwenye njaa atafanya nini atakapochezesha timu ya tajiri mwenye woga wa kufungwa?
 
Back
Top Bottom