Tetesi: Kocha Saed Ramovic aaga wachezaji rasmi

Leta ushahidi wa kuvunja mkataba wake.Mmepeana kitawi.Amehamishiwa Main Office hakuna cha mkataba wala mavi.
Unajitia upofu lakini unajua ukweli.
Tawi kuu la Yanga ni Simba maana kila mechi ina achia sometimes wanajifunga ilimradi tu Yanga ashinde
 
Tukupe ushahidi wewe kama nani labda? Ata akiamishwa kwani Kuna shida? Kinachokusumbua wewe ni nini sikuelewi?
Huyo ni mbumbumbu yaani anaona ajabu kocha kuhama timu 🤣
 
Yanga wamemtimua side mnyamwezi aiseee tar 8 tutawatia vi 5 vya adabu.
 
Huyu aliyeshindwa kwa Lamba lamba ndo ataweza huko bwawani?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
All the best coach.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…