ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 16,295
- 31,695
Tawi kuu la Yanga ni Simba maana kila mechi ina achia sometimes wanajifunga ilimradi tu Yanga ashindeLeta ushahidi wa kuvunja mkataba wake.Mmepeana kitawi.Amehamishiwa Main Office hakuna cha mkataba wala mavi.
Unajitia upofu lakini unajua ukweli.
Side mnyamweziiiMechi zote alichezesha Kayoko?
Tawi kuu la Yanga ni Simba maana kila mechi ina achia sometimes wanajifunga ilimradi tu Yanga ashinde
Tunamleta kocha wa kuwafunga 5
Simba wanatakiwa kuwa humo maana haiwezekani kila siku wanawekwa
Bila manunuzi mwiko nyuma ni pamba iliochangamkaSimba wanatakiwa kuwa humo maana haiwezekani kila siku wanawekwa
Sasa kama mnanunulika kama malaya tufanyejeBila manunuzi mwiko nyuma ni pamba iliochangamka
Cha kukusaidia tu chomoa huo mwiko huko nyumaSasa kama mnanunulika kama malaya tufanyeje
Nani kakuchomekea?
Na zile 6 tulizowahi kuwafunga mtazirudisha lini? Mnajitekenya na kucheka wenyewe!Tunamleta kocha wa kuwafunga 5
Kwetu sisi nguvu moja labda kwenu na huo mwiko nyumaNani kakuchomekea?
All the best coach.Katika hali ya kushangaza coach Saed Ramovic ameaga rasmi na kuwa mechi ya kesho vs ya Ken Gold ndo mechi ya mwisho kuwa Yanga
Club ya CR Beilouzdad imempa offer ya mshahara wa dollar 40,000 na Yanga alikuwa akilipwa dollar 15,000,
Kwa huu mkwanja na ubinadamu laZima ushawishike
Inasemekana mchezo wa Kesho hatakuwepo kwenye bench la ufundi na badala yake atasimama Abdi Moallin Mkurugenzi wa ufundi wa Club ya Young Africans
Tunamtakia kila heri coach Saed Ramovic German machine