DuaZaMama
JF-Expert Member
- Jun 2, 2025
- 1,882
- 4,129
Kocha mkuu Tanzania Miguel Gamond baada ya kuiwezesha Tanzania kufuzu hatua ya kumi na sita bora kwa mara ya kwanza, Amesema ushindi huu ni muhimu sana kwa soka la Tanzania na mafanikio waliyoyapata anayatoa kama heshima kwa watu walipoteza maisha yao oktoba 29.
Kocha Gamondi alitoa kauli hiyo wakati akizungumza na waandishi wa habari mara tu baada ya mchezo kumalizika, Tanzania imefuzu katika hatua mtoano kama Best Loser katika kundi C, ambapo pia itacheza na Morocco katika hatua hiyo mnamo Januari 4,2026.
Source: BBC
Kocha Gamondi alitoa kauli hiyo wakati akizungumza na waandishi wa habari mara tu baada ya mchezo kumalizika, Tanzania imefuzu katika hatua mtoano kama Best Loser katika kundi C, ambapo pia itacheza na Morocco katika hatua hiyo mnamo Januari 4,2026.