Me370
JF-Expert Member
- Mar 10, 2008
- 985
- 293
Ok, This is how it was. Nlienda Mbeya kikazi kwa muda wa kama wiki 3 hivi tokea 29th May mpaka 21st June. Muajiri alinilipia Hotel na chakula pale hoteli nlikuwa nikila ninachotaka na ku sign tu. Kabla hata wiki haijaisha nligundua kuwa nahitaji Companion wa kike to get me through the weeks. Nkapiga simu naumwa next day na kwenda kuzurura Town. Katika pitapita zangu mkononi nikiwa na T-shirt 3 kali za mtumba nlizokuwa nimenunua siku hiyo nkamuona binti bomba sana kwa mbali. All was fine mpaka nlivomsogelea nkaona kabeba mtoto mchanga mgongoni, Nkajipa moyo sio wake na kumuingia. Nlimuanza kwa kumshauri amfunike vizuri mtoto kwani hali ilikuwa baridi na upepo mkali. Nlimsifu mtoto alivyo mzuri huku nikiuliza jina la mtoto na kudai kafanana na mama yake. Nia yangu ilikuwa ni kuhakiki mtoto ka ni wake. Alikana na kudai kachukua sura ya baba yake. Anyway Story zilianzia hapo na nliendelea kuongea naye huku tukitembea kwa pamoja. Tulipanda basi moja ingawa nilikuwa siendi anakoenda, aliposhuka nami nkashuka na kupewa namba kwa sharti nsipige usiku.
Siku iliyofuata Nliripoti kazini na lunchtime nkampigia. Tuliongea kwa kama saa nzima. Alinieleza kazalishwa na mume wa mtu (Mkristo) so hawezi kuolewa naye. Aliendelea kueleza jamaa anahudumia kila kitu kampangishia chumba na anampa elfu 5 per day yaani 150,000 per month pia mtoto akiumwa na hela ndogo kama vocha e.t.c. Tulizoeana kwa kipindi kifupi nkamualika hoteli aje tubadilishane mawazo kama friends na kumtumia tax mida ya jioni akaja. Tukaongea tu ile siku bali jumaamosi ya wiki ile nlishinda hotelini akaja na kuanzia siku ile tukawa wapenzi. Kama kawaida ya mwanaume mimi uongo mwingi nlimmwagia na ahadi kibao fix. Mapenzi yalinoga mpaka akaacha kulala kwake na kuhamia pale hotelini kwangu. Alikuwa ananyonyesha mtoto so nilikuwa najilia tu peku.
Matatizo yalianza pale Baba wa yule mtoto alipoambiwa na wapambe kuwa nyumba ndogo yake hailali tena nyumbani. Alikuwa na funguo za ghetto la yule demu so akaenda kubeba kila kilicho mle ndani alichomnunulia yule demu. Mwenye nyumba akakabidhiwa chumba apangishe na kurudisha kodi iliyobaki. Tulienda wote kwake nikayashuhudia haya. Baada ya mimi kuona hivo, siku ninayoondoka (21st June) nilimuamishia mrembo wangu guest ya bei rahisi na kumlipia siku 10. Nkamuachia na 50 ya kula siku 10. Nkasepa na kurudi Dar.
Sasa hapa Kichwa kinaniuma nisaidieni wana JF nifanyeje? Ukichehe wangu umefanya nimejitwisha Limzigo likubwa na mbaya zaidi yule mwanamke kwao waislamu hivyo kuzaa na mkristo na kukubali kuwekwa nyumba ndogo walishamtenga na hili alinambia mwanzo kabisa. So kurudi kwao hawezi maana huwa wanamfukuza tu. Hapa kichwa kinaniuma mawazo hayaishi. Mtoto sio wangu so SIWEZI hudumia milele na kodi ya guest na hela ya kula yule mwanamke vinaisha in 4 days time. Alisharudi kwa baba wa yule mtoto kamkataa na sasa anasema yule mtoto sio wake maana demu malaya. Mpenzi mwenyewe hana ushauri wa maana analia tu siku nizima hata tukiongea kwenye simu kilio tuuu. Nafikiria sijui nimzimie simu au? Please, PLEASE, PLEASE, PLEASEEEEEEEEE Nishaurini Najitoaje humuuuuuuuuuu.
Siku iliyofuata Nliripoti kazini na lunchtime nkampigia. Tuliongea kwa kama saa nzima. Alinieleza kazalishwa na mume wa mtu (Mkristo) so hawezi kuolewa naye. Aliendelea kueleza jamaa anahudumia kila kitu kampangishia chumba na anampa elfu 5 per day yaani 150,000 per month pia mtoto akiumwa na hela ndogo kama vocha e.t.c. Tulizoeana kwa kipindi kifupi nkamualika hoteli aje tubadilishane mawazo kama friends na kumtumia tax mida ya jioni akaja. Tukaongea tu ile siku bali jumaamosi ya wiki ile nlishinda hotelini akaja na kuanzia siku ile tukawa wapenzi. Kama kawaida ya mwanaume mimi uongo mwingi nlimmwagia na ahadi kibao fix. Mapenzi yalinoga mpaka akaacha kulala kwake na kuhamia pale hotelini kwangu. Alikuwa ananyonyesha mtoto so nilikuwa najilia tu peku.
Matatizo yalianza pale Baba wa yule mtoto alipoambiwa na wapambe kuwa nyumba ndogo yake hailali tena nyumbani. Alikuwa na funguo za ghetto la yule demu so akaenda kubeba kila kilicho mle ndani alichomnunulia yule demu. Mwenye nyumba akakabidhiwa chumba apangishe na kurudisha kodi iliyobaki. Tulienda wote kwake nikayashuhudia haya. Baada ya mimi kuona hivo, siku ninayoondoka (21st June) nilimuamishia mrembo wangu guest ya bei rahisi na kumlipia siku 10. Nkamuachia na 50 ya kula siku 10. Nkasepa na kurudi Dar.
Sasa hapa Kichwa kinaniuma nisaidieni wana JF nifanyeje? Ukichehe wangu umefanya nimejitwisha Limzigo likubwa na mbaya zaidi yule mwanamke kwao waislamu hivyo kuzaa na mkristo na kukubali kuwekwa nyumba ndogo walishamtenga na hili alinambia mwanzo kabisa. So kurudi kwao hawezi maana huwa wanamfukuza tu. Hapa kichwa kinaniuma mawazo hayaishi. Mtoto sio wangu so SIWEZI hudumia milele na kodi ya guest na hela ya kula yule mwanamke vinaisha in 4 days time. Alisharudi kwa baba wa yule mtoto kamkataa na sasa anasema yule mtoto sio wake maana demu malaya. Mpenzi mwenyewe hana ushauri wa maana analia tu siku nizima hata tukiongea kwenye simu kilio tuuu. Nafikiria sijui nimzimie simu au? Please, PLEASE, PLEASE, PLEASEEEEEEEEE Nishaurini Najitoaje humuuuuuuuuuu.