knock knock knock

knock knock knock

Wengine salamu zetu ni Bwana Yesu asifiwe, hatujazoea kiarabu zaidi.

Nakusoma, ila ukimtaja Yesu then unahusisha na dina, ila salaam aleykum haina mwelekeo wa dini yoyote! kiswahili kimeazima maneno kutoka lugha mbalimbali ikiwemo kiarabu na kuifanya lugha yetu ipate utajiri wa maneno kuweza kurahisisha mawasiliano. kuwepo kwa maneno ya kiarabu sioni kama kunatubadili asili yetu kama waafrika/watz. ni maoni yangu tu.
 
Back
Top Bottom