NAMBA MOJA AJAYE NCHINI
JF-Expert Member
- Oct 29, 2019
- 8,526
- 17,433
Kama tunavojua kwa misimu yote ya nyuma, LFC hawana pumzi ya mbio za marathon, wataishia njiani! Majeruhi kwa Mo Salah, Mane na Firmino ubingwa kwaheri!
Mkuu EPL ipo tight sana kwa sasa,ubingwa hautabiriki kabisa,huyo Man city kisha anza kuregea.Endeleeni kuamini ubingwa ni wa man city tu!!!salah ameshaumia ORIGI ni kilaza mnakumbuka gem ya man u?alicheza hovyo!!!
Coz miaka 30 haijachukua EPLLiverpool FC hawajasema kama wameshachukua ubingwa.
Lakini wapinzani ndo mnaibuka na "Haitochukua".
Coz miaka 30 haijachukua EPL
So,ni kitu kilichozoeleka tayari.
Coz miaka 30 haijachukua EPL
So,ni kitu kilichozoeleka tayari.
Good luck mkuu.Sawa mkuu, ila ukumbuke hata Leicester City wamechukua juzi juzi kwa mara ya kwanza. So hata Liverpool chochote kinawea kutokea.
Naona kuna baadhi yetu tunalalamika kwamba VAR itawapa ubingwa Liverpool.
Chelsea walikaa miaka mingapi bila title na baadae wakachukua?Coz miaka 30 haijachukua EPL
So,ni kitu kilichozoeleka tayari.