hakuna ndege inaitwa CONCORDA, wewe upo zana za mawe za kati, hizo hazipo tena.Kma hawa KLM. wamezingua basi CONDOR airline italeta abiria pale KIA
Uliamini hiyo habari?Ina maana wale watalii tulioambiwa wameshafanya booking hadi August na ndege zote zimejaa wameahirisha safari zao?
Hawa KLM ni wahujumu uchumi wenye nia mbaya na nchi yetu. Jamhuri iwapige ban kuja nchini hadi wajirekebishe tabia zao
Wahenga walisema ukila na kipofu usimshike mkono.. sasa sisi tunakamata mikono yoteMadhara yameanza kuonekana
Wakati mwingine ni bora kucheza step sawa na wenzako hata kinafiki tu ili mambo yaende
Watu wanazungumzia CONDOR airline we unaleta habari za Concorde wapi na wapihakuna ndege inaitwa CONCORDA, wewe upo zana za mawe za kati, hizo hazipo tena.
Air France and British Airways blamed low passenger numbers and rising maintenance costs.
Passenger numbers fell after an Air France Concorde crashed minutes after taking off from Paris in July 2000, killing all 109 people on board and four on the ground.
The plane ran over a piece of metal on the runway, bursting a tyre which caused the fuel tank to ignite as it was taking off.
The 9/11 attacks in 2001 also had a severe impact on the number of people choosing to fly.
The operators also blamed rising maintenance costs. Although advanced when it was launched, 30 years on the planes were outdated and expensive to run.
By the time Concorde was retired it was the only aircraft in the British Airways fleet that required a flight engineer.
wacha maneno ya kwenye kanga kubishana na kuonea wivu wanawake kama mwenzako jana anayemwonea wivu dkt Mwele, pumbav sana vijana wa kiume siku hizi, sijui watoto wetu wataolewa wapi, sikuhizi sijui mwanaume yupi, wa-kike yupi, wanaume kama mabinti, eboo!Watu wanazungumzia CONDOR airline we unaleta habari za Concorde wapi na wapi
Mkuu niliamini kama nilivyo na imani na MATAGA😂😂Uliamini hiyo habari?
Jr![]()
...the highest my Kilimanjaro? Duh.Lumumba bana si ufanye tu marekebisho tu iwe costful....Kisha uendeleee kujadili hoja yake maana hata waziri mmoja kaaandika tallest Mt Kilimanjaro badala ya highest my Kilimanjaro![]()
Acha kujifanya mjuaji wakati wewe ni kilaza tu.Not my...mpuuzi wa Lumumba![]()
Hizi travel advisories zitaigharimu Tanzania kuliko nchi nyingine yoyote kwani record yetu ya kudili na covid-19 ni mbaya zaidi duniani. Wazungu huwa hawafuati maneno ya kisiasa bali huangalia takwimu na historia na umakini wa serikali kuchukua hatua stahiki. Hivyo haya mambo ya kutokutoa takwimu sahihi kwa zaidi ya mwezi mmoja itatufanya tutengwe kama tunavyoanza kuona. Haya mambo ya kienyeji yanakubalika hapa nchini pekee kwani watanzania wengi hawajui ukweli na hata mawaziri hawana uwezo wa kupendekeza jambo tofauti kwani waliopendekeza tayari walishatumbuliwa.KLM just canceled their first flight to Kilimanjaro and Dar Es Salaam on July 4th 2020.
Not enough bookings.
Pole sana. There is also a negative travel advice from the Netherlands to countries outside Europe.
After returning people need to go into quarantine for two weeks of which they don't want and its costful.
This is bad news for Tanzania also.
Nobody likes to go into quarantine after a holiday and also their employers won't be pleased.
cc:Magufuli & MATAGA
Very profession kwenye uzi wako , Mzungu hataki politics, anataka Data and research, haya mambo ya kutangaza ndege zimejaa june mpaka august wanakuona mjinga kweli kweli, TujifunzeHizi travel advisories zitaigharimu Tanzania kuliko nchi nyingine yoyote kwani record yetu ya kudili na covid-19 ni mbaya zaidi duniani. Wazungu huwa hawafuati maneno ya kisiasa bali huangalia takwimu na historia na umakini wa serikali kuchukua hatua stahiki. Hivyo haya mambo ya kutokutoa takwimu sahihi kwa zaidi ya mwezi mmoja itatufanya tutengwe kama tunavyoanza kuona. Haya mambo ya kienyeji yanakubalika hapa nchini pekee kwani watanzania wengi hawajui ukweli na hata mawaziri hawana uwezo wa kupendekeza jambo tofauti kwani waliopendekeza tayari walishatumbuliwa.
Ina maana wale watalii tulioambiwa wameshafanya booking hadi August na ndege zote zimejaa wameahirisha safari zao?
Hawa KLM ni wahujumu uchumi wenye nia mbaya na nchi yetu. Jamhuri iwapige ban kuja nchini hadi wajirekebishe tabia zao
Tungeshamaliza 14 zetu kwa usalama wa wageni wetu.Wapo wengi wanataka kuja ila wakirudi kwao wanawekwa karantini siku 14, ndio wamekatisha safari, tuendelee kunywa mtori, nyama zipo chini
siyo CCM, ni MATAGA na nanii, si wote wanataka haya mambo na ndiyo maana walimsema kweli kweli kwenye zile clip zilizodukuliwana tyisi na tisiaraeiTungeshamaliza 14 zetu kwa usalama wa wageni wetu.
Mchagua nazi huchagua koroma.
Ccm watajisifia kuchagua koroma.
#QatarAirways is excited to announce the resumption of scheduled flights to Dar es Salaam, Tanzaniafrom 16 June. One of the largest cities in Africa, Dar Es Salaam is a key trade and tourism hub in East Africa.
: aeromanu (Instagram) https://t.co/6Ji897Boe9
Ulitakiwa kusema KLM haiji Tz ila inaenda nchi nyinge za EACKLM just canceled their first flight to Kilimanjaro and Dar Es Salaam on July 4th 2020.
Not enough bookings.
Pole sana. There is also a negative travel advice from the Netherlands to countries outside Europe.
After returning people need to go into quarantine for two weeks of which they don't want and its costful.
This is bad news for Tanzania also.
Nobody likes to go into quarantine after a holiday and also their employers won't be pleased.
cc:Magufuli & MATAGA
Mkuu huku chini tukishaumia sana ndo tutapata akili za kuwaondoa hawa vilaza kwenye ofisi za ummaMuda mwingine tuache kuishi kama wachawi, mimi nachukia ccm damu, ila maisha ya kawaida lazima yaendelee kuweka siasa kila sehemu tunaoathirika ni sisi wananchi wa kawaida, huyo Magu anaishi maisha mazuri ikulu, ila zinazoathirika ni biashara zetu huku chini, biashara na shuhuli zetu hazina vyama vya siasa, kwa namna yoyote inapotokea kama hivo flights zimezuiwa sioni jambo la kufurahia hapo, kwasababu mwisho wa siku anaetharika pakubwa anajulikana.
Siasa ni upuzi tu, kila mtu anaangalia maslahi yake huko bungeni.
Ushauri wangu boresha/pambana na ustawi wa maisha yako mwenyewe kwa juhudi zako, kama ni mpiga siasa endelea na siasa maana ndio kazi za wengine.