Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,391
- 39,484
Siku ya Jumapili tutakuwa na matangazo live kujadili yale yatakayokuwa yamejiri kutoka Butiama. Tuna vijana wetu kadhaa ambao wanatarajiwa kuwasili mapema Jumamosi asubuhi kuweza kuanza kutuandalia ripoti ya yale yote yanayojiri.
Utaweza kutusikiliza "live" kupitia Bongoradio.com au kwenye Ubroadcast.com (download player na weka station 10383) kuanzia saa nane za mchana EST (-5GMT).
Utaweza kutusikiliza "live" kupitia Bongoradio.com au kwenye Ubroadcast.com (download player na weka station 10383) kuanzia saa nane za mchana EST (-5GMT).
