Klabu ya simba yapigwa faini kwa kuendekeza ushirikina licha ya kutumia mabilioni kwenye usajili

Klabu ya Simba imepigwa faini ya sh 500k (laki 5) kutokana na timu kuingia uwanjani kwa kutumia mlango usio rasmi katika mechi ya Ligi Kuu Vodacom dhidi ya Mbao FC iliyochezwa September 21 2017.
Uchawi uko wap hapo!
 
Back
Top Bottom