Kichapo walichopewa wazee wa "mapigo na mwendo" kikawe funzo tosha kwa timu za ligi kuu zinaoamini ushirikina kuliko kufanya usajili mzuri

NALIA NGWENA

JF-Expert Member
Oct 6, 2016
10,206
12,733
Mpira ungekua ni uchawi Basi Nigeria wangechukua kombe la dunia, Yanga sc wasingechukua point tatu muhimu mbele ya Rivers United Tena kwenye uwanja wao.

Mpira ungekua ni uchawi Basi Simba sc wangepata matokeo mbele ya Orlando pirates baada ya kuchoma uwanja.

Mpira ni ni Mchezo wa wazi, Fanya usajili bora, weka kocha mwenye mbinu (benchi la ufundi zuri) hakika utafurahia matokeo japokua timu haitoshinda mechi zote.

NALIA NGWENA nimesikitishwa sana baada ya kuona videos na picha zikirushwa kutoka kwenye uwanja wa unaotumiwa na Mashujaa Fc.

Picha za Nyau wamechinjwa uwanjani Mara vitezo vya kufukizia ubani, hii wamekutana nao Wanalambalamba Fc lakini haikuwaathri kisaikolojia wamepambana na kupata point tatu muhimu na MAGOLI matatu bila.

Maoni yangu: mameneja wa uwanja waanze kuajibishwa Sasa kwa kuruhusu watu kwenda uwanjani kufanya ukatili dhidi ya wanyama (kuwachinja).

Kama hujafanya usajili mzuri utafungwa tu haijalishi utachinja punda, nyoka na hii timu za ligi kuu zijifunze mpira siyo ushirikina Bali ni usajili mzuri.
 
Kweli huko kwenu wenye akili ni wawili tu, yaani baada ya kumfunga Rivers yanga alipata points 3? Maajabu haya knockout stage kuwa na points
Acha umbumbumbu,kwani knockout stage kila baada ya match hawahesabu points?
 
Hakuna uchawi Ile ni kujaribu kuharibu mpinzani kisaikolojia
Kwa Watu wasio na Akili hapa kamwe hawataweza Kukuelewa wala Kukuamini ila kwa Sisi wenye Akili Kubwa kama Wewe tumekuelewa vyema kabisa na Binafsi GENTAMYCINE kama Mdau
Tukuka wa Umafia na Mbinu Chafu ( Mikwara na Propaganda vikiwemo ) katika Soka la Bongo nakubaliana nawe 100% kwa hii Post yako na hiki Ulichokiandika kwani ndiyo Ukweli wenyewe na mengineyo yatakayosemwa au kuhisiwa na Wengine ni Porojo / Pumba tupu tu.
 
Mpira ungekua ni uchawi Basi Nigeria wangechukua kombe la dunia, Yanga sc wasingechukua point tatu muhimu mbele ya Rivers United Tena kwenye uwanja wao.

Mpira ungekua ni uchawi Basi Simba sc wangepata matokeo mbele ya Orlando pirates baada ya kuchoma uwanja.

Mpira ni ni Mchezo wa wazi, Fanya usajili bora, weka kocha mwenye mbinu (benchi la ufundi zuri) hakika utafurahia matokeo japokua timu haitoshinda mechi zote.

NALIA NGWENA nimesikitishwa sana baada ya kuona videos na picha zikirushwa kutoka kwenye uwanja wa unaotumiwa na Mashujaa Fc.

Picha za Nyau wamechinjwa uwanjani Mara vitezo vya kufukizia ubani, hii wamekutana nao Wanalambalamba Fc lakini haikuwaathri kisaikolojia wamepambana na kupata point tatu muhimu na MAGOLI matatu bila.

Maoni yangu: mameneja wa uwanja waanze kuajibishwa Sasa kwa kuruhusu watu kwenda uwanjani kufanya ukatili dhidi ya wanyama (kuwachinja).

Kama hujafanya usajili mzuri utafungwa tu haijalishi utachinja punda, nyoka na hii timu za ligi kuu zijifunze mpira siyo ushirikina Bali ni usajili mzuri.
UHARO kama HARO zako nyingine unazoandikaga JF
 
Kwa Watu wasio na Akili hapa kamwe hawataweza Kukuelewa wala Kukuamini ila kwa Sisi wenye Akili Kubwa kama Wewe tumekuelewa vyema kabisa na Binafsi GENTAMYCINE kama Mdau
Tukuka wa Umafia na Mbinu Chafu ( Mikwara na Propaganda vikiwemo ) katika Soka la Bongo nakubaliana nawe 100% kwa hii Post yako na hiki Ulichokiandika kwani ndiyo Ukweli wenyewe na mengineyo yatakayosemwa au kuhisiwa na Wengine ni Porojo / Pumba tupu tu.
Umewageuka walozi wenzako
 
Mpira ungekua ni uchawi Basi Nigeria wangechukua kombe la dunia, Yanga sc wasingechukua point tatu muhimu mbele ya Rivers United Tena kwenye uwanja wao.

Mpira ungekua ni uchawi Basi Simba sc wangepata matokeo mbele ya Orlando pirates baada ya kuchoma uwanja.

Mpira ni ni Mchezo wa wazi, Fanya usajili bora, weka kocha mwenye mbinu (benchi la ufundi zuri) hakika utafurahia matokeo japokua timu haitoshinda mechi zote.

NALIA NGWENA nimesikitishwa sana baada ya kuona videos na picha zikirushwa kutoka kwenye uwanja wa unaotumiwa na Mashujaa Fc.

Picha za Nyau wamechinjwa uwanjani Mara vitezo vya kufukizia ubani, hii wamekutana nao Wanalambalamba Fc lakini haikuwaathri kisaikolojia wamepambana na kupata point tatu muhimu na MAGOLI matatu bila.

Maoni yangu: mameneja wa uwanja waanze kuajibishwa Sasa kwa kuruhusu watu kwenda uwanjani kufanya ukatili dhidi ya wanyama (kuwachinja).

Kama hujafanya usajili mzuri utafungwa tu haijalishi utachinja punda, nyoka na hii timu za ligi kuu zijifunze mpira siyo ushirikina Bali ni usajili mzuri.
Watu wa Kigoma wanaamini sana ulozi,kuna wakati Zitto Kabwe aliwachimba mkwala wabaya wake kwamba yeye akiamua anaweza kuteketeza ukoo mzima na hata panya ndani ya nyumba watakufa kwa ndumba zake.
 
Kwa Watu wasio na Akili hapa kamwe hawataweza Kukuelewa wala Kukuamini ila kwa Sisi wenye Akili Kubwa kama Wewe tumekuelewa vyema kabisa na Binafsi GENTAMYCINE kama Mdau
Tukuka wa Umafia na Mbinu Chafu ( Mikwara na Propaganda vikiwemo ) katika Soka la Bongo nakubaliana nawe 100% kwa hii Post yako na hiki Ulichokiandika kwani ndiyo Ukweli wenyewe na mengineyo yatakayosemwa au kuhisiwa na Wengine ni Porojo / Pumba tupu tu.
"Wenye akili kubwa" hongereni
 
Back
Top Bottom