Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,262
Klabu ya Simba yenye maskani yake mitaa ya Msimbazi Jijini Dar es salaam, leo Julai 9, 2022 imethibitisha kukamilisha usajili wa mshambuliaji Habibu Kyombo kwa mkataba wa miaka miwili.
Nyota huyu msimu uliopita (mzunguko wa pili) alicheza kwenye Klabu ya Mbeya Kwanza FC ambapo alifanikiwa kufunga mabao 6 na Assist 3 katika michezo 15 ya Ligi Kuu Tanzania Bara.
"Mchezaji mzawa mwenye hadhi ya kucheza timu kubwa Afrika, Habibu Kyombo ni Mnyama". imeeleza taarifa hiyo kwa ufupi ya Simba SC kwa katika ukurasa wake wa Twitter
Kyombo amekuwa mchezaji wa pili kusajiliwa ndani ya Simba SC kuelekea msimu mpya baada ya Mzambia Moses Phiri.
Nyota huyu msimu uliopita (mzunguko wa pili) alicheza kwenye Klabu ya Mbeya Kwanza FC ambapo alifanikiwa kufunga mabao 6 na Assist 3 katika michezo 15 ya Ligi Kuu Tanzania Bara.
"Mchezaji mzawa mwenye hadhi ya kucheza timu kubwa Afrika, Habibu Kyombo ni Mnyama". imeeleza taarifa hiyo kwa ufupi ya Simba SC kwa katika ukurasa wake wa Twitter
Kyombo amekuwa mchezaji wa pili kusajiliwa ndani ya Simba SC kuelekea msimu mpya baada ya Mzambia Moses Phiri.