Klabu ya Azam FC imethibitisha kupokea barua kutoka kwa mshambuliaji Prince Dube akiomba kuvunja mkataba

Za ndaaniii kabsa Azam FC wanataka 765M ili wamwachie Dube. Lakini najua watamwachia kwa pesa chini ya hiyo maana Azam hawana tabia ya kung'ang'ania wachezaji na hawapendi makelele na migogoro, zaidi ya yote hawana njaa. Sioni timu gani ya Kariakoo itaweza/itakubali kutoa hiyo pesa kwa Dube ambae mimi namuona sio mchezaji wa kutegemea sana kutokana na rekodi yake mbaya ya injuries za mara kwa mara. Lakini pia sio mchezaji wa daraja la juu na wa kutisha sana. Kama Azam itamwachia Dube halafu imsajili Mayele basi watakua wamenufaika zaidi kuliko watakaomchukua Dube
Unamuongelea Lucky Dube labda sio Prince Dube
 
Mnaosema Dube amna mchezaji na wakati timu zenu zote pendwa zinaangaika ucku na mchana kuakikisha wanampata..kwa timu zote za kariakoo Dube utamfananisha na striker gani pale kwa waliokuwepo..

Hakuna timu ya kutoa milioni 300 achilia mbali hizo 700 wanazotaka azam ili kumuachia dube. Ni mshambuliaji wa kawaida ambaye hajajipambanua. Kugombewa na simba na yanga si kipimo cha ubora. Hata Gula Joshua aligombewa miaka ile
 
Fei hakusamehewa bila makubaliano maalumu kutoka yanga
MCHANGO WA KUCHANGIA DUBE
Screenshot_20240304-230154.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom