adriz
JF-Expert Member
- Sep 2, 2017
- 10,988
- 23,195
Hata Mimi naona sio mchezaji tishio.Dube angekuwa tishio, mechi ya Simba vs Azam ile alikuwa anaondoka na hat trick. Sishauli Yanga kumsajili huyu mchezaji
Hata Mimi naona sio mchezaji tishio.Dube angekuwa tishio, mechi ya Simba vs Azam ile alikuwa anaondoka na hat trick. Sishauli Yanga kumsajili huyu mchezaji
Hana muendelezo mzuri. Weka takwimu yake hapa tuoneKwani ulimuona kwenye mechi moja tu.
Unamuongelea Lucky Dube labda sio Prince DubeZa ndaaniii kabsa Azam FC wanataka 765M ili wamwachie Dube. Lakini najua watamwachia kwa pesa chini ya hiyo maana Azam hawana tabia ya kung'ang'ania wachezaji na hawapendi makelele na migogoro, zaidi ya yote hawana njaa. Sioni timu gani ya Kariakoo itaweza/itakubali kutoa hiyo pesa kwa Dube ambae mimi namuona sio mchezaji wa kutegemea sana kutokana na rekodi yake mbaya ya injuries za mara kwa mara. Lakini pia sio mchezaji wa daraja la juu na wa kutisha sana. Kama Azam itamwachia Dube halafu imsajili Mayele basi watakua wamenufaika zaidi kuliko watakaomchukua Dube
Mnaosema Dube amna mchezaji na wakati timu zenu zote pendwa zinaangaika ucku na mchana kuakikisha wanampata..kwa timu zote za kariakoo Dube utamfananisha na striker gani pale kwa waliokuwepo..
Dube ni mtu tuache masikharaHakuna mchezaji pale. Nashangaa eti analinganishwa na mayele!! Labda mayele wa ikwiriri
NAUNGA MKONO HOJA YAKO MKUUMnaosema Dube amna mchezaji na wakati timu zenu zote pendwa zinaangaika ucku na mchana kuakikisha wanampata..kwa timu zote za kariakoo Dube utamfananisha na striker gani pale kwa waliokuwepo..
He knows nothing about DUBE.Dube ni mtu tuache masikhara
Unamuongelea Lucky Dube landa sio Prince Dube
MCHANGO WA KUCHANGIA DUBEFei hakusamehewa bila makubaliano maalumu kutoka yanga
dola laki 3Anatakiwa alipe kiasi gani?
Hivi hao wanaobisha watwambie kwa bongo hii striker gan anamzidi DubeDube ni mtu tuache masikhara
Na wao waone ugumu wa haya mambo! Kipindi kile kwa Fei walijiona miamba sana[
NAUNGA MKONO SKUDU ANAMALIZA UGALI WA BURE TU PALE JANGWANI.
wafanye wao huo ujinga, mchezaji akibanwa kukata gogo ana amka kuvunja mkataba mpira gani huo?Uto ndo waone wenzao wanavyoamua bila kuweka ugomvi na mchezaji.
USD 300,000 tuAnatakiwa alipe kiasi gani?
Heee mapema hivi